Category: Kimataifa
Apple kuifungia Twitter
Elon Musk ameishutumu Apple Inc (AAPL.O) kwa kutishia kuifungia Twitter Inc katika duka lake la programu bila kusema sababu za hatua hizo wakati wa mf [...]
Nchi zinazoongoza kwa mfumuko wa bei za vyakula
Kwa mujibu wa tathmini ya Benki ya Dunia, Zimbabwe ndiyo nchi inayoongoza kuwa na gharama kubwa ya chakula huku ikitajwa kuongezeka kwa asilimia 321 k [...]
Ramadhani Brothers wameiwakilisha vyema Tanzania
Wanasarakasi wa Kitanzania Ramadhani Brothers, wamefanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano ya Australia Got Talent lakini kushindwa kutwaa ubingwa [...]
Rais Samia atunukiwa tuzo ya Kiongozi Bora AFRIMMA 2022
Waandaji wa tuzo za AFRIMMA wamemtunukua Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya Uongozi Bora kwa mwaka 2022 kutokana na mchango wake katika ku [...]
Tanzania kumi bora uvutaji bangi
Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvu [...]
Kijana aliyeokoa watu kwenye ndege ya Precision Air apewa milioni 1
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amemkabidhi kijana mmoja mvuvi aliyejitosa kwenye maji akijaribu kuwaokoa wahanga wa ajali ya ndege ya Precis [...]
Rais Samia ameandika historia Uwanja wa Kimataifa
Na Dk Juma Mohammed, Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya ziara rasmi katika Jamhuri ya Watu wa China.
[...]
China yampongeza Rais Samia kwa maendeleo ndani ya Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping wameshuhudia kusainiwa kwa mikataba na hati za makubaliano ya kimkakati 15.
[...]
Ziara ya Rais Samia China itakavyofungua fursa ya fursa
Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini China kufuatia mualiko alioupata kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Xi Jinping, inaenda kufungua mil [...]
Rais Samia azungumza na Waziri Mkuu wa China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na ujumbe aliombatana nao kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu (Premie [...]