Category: Kimataifa
Mabasi ya AFCON karibu yote yapotea
Takriban miezi miwili baada ya kumalizika kwa Fainali za Mataifa ya Afrika za 2021 nchini Cameroon, mabasi 89 mapya yaliyotumiwa kuendesha timu za tai [...]
Rita Dominic aolewa na Kigogo
Muigizaji maarufu kutoka nchini Nigeria, Rita Dominic amepokea pongezi nyingi kutoka kwa mashabiki zake kwa kuweza kufungua ndoa na mume wake wa muda [...]
Ronaldo afiwa na mtoto
Bingwa wa dunia wa mpira wa miguu na mchezaji wa timu ya Manchester United, Christiano Ronaldo 'CR7' na mpenzi wake Georgina Rodriguez wamepoteza mtot [...]
Mtanzania ‘Geay’ aweka rekodi Boston Marathon
Mwanariadha Gabriel Geay, anayeiwakilisha vyema Tanzania katika mashindano ya mbio kitaifa ameshika nafasi ya nne katika mbio za Boston Marathon ziliz [...]
Afariki akiigiza filamu ya Yesu
Mwanafunzi wa Chuo cha Seminari cha Clariantian University nchini Nigeria, Suel Ambrose amedondoka na kufariki akiwa anaigiza filamu ya Yesu maarufu k [...]
Idadi ya waliokufa maji yafikia 443
Watu 443 wamefariki dunia kufuatia mafuriko na mmomonyoko wa ardhi KwaZulu-Natal, nchini Afrika Kusini huku wengine 63 wakiendelea kutafutwa wasioneka [...]
Filamu ya Royal Tour jijini New York leo
Filamu ya Royal Tour inayozinduliwa leo jijini New York, nchini Marekani ambayo mhusika mkuu ni Rais Samia Suluhu Hassan, inakwenda kuitangaza Tanzani [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 18, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Rais wa Burundi ajitwika msalaba
Ijumaa Kuu ni siku ya kukumbuka mateso ya Yesu na makanisa mbalimbali kuigiza mateso ya Yesu kama njia ya kufundisha waumini kuhusu alivyojitoa Yesu k [...]
Mwizi azawadiwa pesa na kazi
Kijana mmoja aliyefungwa kwa wizi wa vyakula na kupigwa faini ya takribani milioni 2 aachiwa huru na marupurupu.
Aliyekuwa gavana wa Kenya, Mike So [...]

