Category: Kimataifa

1 36 37 38 39 40 58 380 / 571 POSTS
Miaka 5 jela kwa kutumia mualama uliokosewa

Miaka 5 jela kwa kutumia mualama uliokosewa

Maskini akipata, matako hulia mbwata ndio msemo unaoweza kufananishwa na kile alichofanya Sibongile Mani, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Walter Sisulu ( [...]
Utafiti: Nusu ya mimba duniani hazikutarajiwa

Utafiti: Nusu ya mimba duniani hazikutarajiwa

Ripoti mpya ya idadi ya watu inaeleza kuwa karibu nusu ya mimba zinazotungwa kila mwaka duniani zinakuwa siyo za kutarajiwa ambapo husababishwa na uko [...]
Rick Ross kufika kilele cha Mlima Kilimanjaro

Rick Ross kufika kilele cha Mlima Kilimanjaro

Rapa wa Marekani William Leonard Roberts II (Rick Ross) leo Machi 31, 2022 katika mahojiano yake na Full Send Podcast ameweka bayana nia yake ya kupan [...]
Taliban: Hakuna kazi bila ndevu

Taliban: Hakuna kazi bila ndevu

Wapiganaji wa Taliban wamewaagiza wafanyakazi wote wa serikali wa kiume kuwa na ndevu na kuzingatia kanuni ya mavazi ama wafutwe kazi Shirika la ha [...]
EAC yaongeza mwanachama mpya

EAC yaongeza mwanachama mpya

Kikao cha Wakuu wa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wameiingiza Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) kuwa mwanachama wa jumuiya hi [...]
Hekta 134 kutengwa kilimo cha bangi

Hekta 134 kutengwa kilimo cha bangi

Nchini Rwanda hekta 134 zimetengwa kwa ajili ya uzalishaji wa zao la bangi baada ya serikali kuanza kutangaza mipango ya kuanza kuzalisha na kusafiris [...]
Netflix kuwekeza bilioni 146.2 Afrika Kusini

Netflix kuwekeza bilioni 146.2 Afrika Kusini

Netflix kuwekeza bilioni 146.2 Afrika KusiniMtandao wa sinema Netflix wamejipanga kuwekeza $63 m sawa na takribani randi milioni 900 nchini Afrika Kus [...]
Umy Mwalimu: Hakuna kirusi kipya

Umy Mwalimu: Hakuna kirusi kipya

  Kufuatia kusambaa kwa kasi kwa kirusi kipya cha UVIKO-19 ( Omicron BA.2) duniani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kirusi hicho hakijafi [...]
Wanaohifadhi wahamiaji haramu waonywa, ‘Sakasaka’ yaanza

Wanaohifadhi wahamiaji haramu waonywa, ‘Sakasaka’ yaanza

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala amewaonya Watanzania wanaowatumia wahamiaji haramu kama chanzo cha kipato kuacha mara moja [...]
Kanye West afutwa Grammy 2022

Kanye West afutwa Grammy 2022

Rapa kutoka nchi Marekani Ye au Kanye West amefutwa kwenye orodha ya wasanii wanaotarajia kutumbuiza kwenye Tuzo za Grammy 2022 kutokana na matendo ya [...]
1 36 37 38 39 40 58 380 / 571 POSTS
error: Content is protected !!