Category: Kitaifa
Aua kwa panga kisa wivu wa mapenzi
Mkazi wa Kijiji cha Mgombani, SWilaya ya Monduli mkoani Arusha, Juma Ndaji (27), anashikiliwa na polisi wilayani humo kwa kosa la kumkata panga mfanya [...]
Ugonjwa usiojulikana Lindi unasababishwa na bweha
Wizara ya Afya kupitia kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imetanga uwepo wa mlipuko mpya wa ugonjwa wa Homa ya Mgunda unaosababisha wananchi kutoka damu [...]
Waziri Makamba aeleza sababu ya kugawa mitungi ya gesi
Waizri wa Nishati, January Makamba amesema wizara hiyo imegawa bure mitungi ya gesi kwa kaya masikini na mamalishe katika mikoa mbalimbali nchini, ili [...]
Majaliwa akagua daraja la mawe
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana Julai 17, 2022 amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa Daraja la mawe katika barabara ya Iguguno-Kikhonda-Kinampundu [...]
Tanzania 5 bora uzalishaji wa mionzi dawa
Tanzania ni kati ya nchi tano Afrika na ni nchi pekee Afrika Mashariki inayozalisha mionzi dawa.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri na Mbunge wa jimbo [...]
Wito wa Waziri Bashe kwa wakulima wa tumbaku
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewakata wakulima wa zao la Tumbaku nchini kujitokeza kwa wingi Kulima zao hilo kutokana na mpango wa sasa wa Serikali [...]
Mbaroni kwa kuuza jezi za feki za Simba na Yanga
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikiria Said Furaha (31) kwa tuhuma za kukutwa na jezi feki za timu za Simba na Yanga dazani 296.
Kamanda wa Poli [...]
Waziri Ummy: Sio Ebola, Maburg wala Uviko-19
Wakati timu ya wataalamu kutoka nje ikitarajiwa kuanza uchunguzi kubaini ugonjwa usiojulikana Lindi, Wizara ya Afya imesema sampuli za vipimo vya maab [...]
Mama amuua binti yake
Mama na mwanaye wa kiume wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kumuua binti wa kumzaa wa mama huyo.
Was [...]
Tanzania na Ubelgiji mambo safi
Tanzania na Bandari ya Antwerp ya Ubelgiji zimekubaliana kuanza mashauriano ya kuanzisha ushirikiano katika uboreshaji wa huduma za bandari nchini. Ma [...]