Category: Kitaifa

1 124 125 126 127 128 186 1260 / 1853 POSTS
Umoja Party wamlilia Rais Samia

Umoja Party wamlilia Rais Samia

Uongozi wa Chama cha Umoja Party umemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuingilia kati kuhakikisha wanapata haki yao ya usajili katika Ofisi za Msajili w [...]
CCM kuimarisha muungano

CCM kuimarisha muungano

Ikiwa leo Aprili 26, 2022 siku ya kuadhimisha Muungano katika ya Tanganyika na Zanzibar, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kwamba hakitaacha kuendele [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 26, 2022

Viwango vya kubadili fedha Aprili 26, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Air Tanzania: Ndege zipo salama

Air Tanzania: Ndege zipo salama

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imetoa ufafanuzi kuhusiana na habari iliyosambaa mitandaoni kuhusu hali ya matairi ya ndege zake ambayo inadaiwa kuwa [...]
8 wafariki, ajali ya basi la shule

8 wafariki, ajali ya basi la shule

Watu nane wamefariki dunia na wengine 19 kujeruhiwa katika ajali iliyotokea mkoani Njombe kati ya basi la shule aina ya coaster na lori. Coaster hi [...]
TCU, UTUMISHI MBADILIKE

TCU, UTUMISHI MBADILIKE

Hivi karibuni Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Utumishi wa Umma na Utawala Bora), Jenista Mhagama ametangaza kuwa zaidi ya nafasi za ajira takribani 40,0 [...]
Mrithi wa Rwakatare apatikana

Mrithi wa Rwakatare apatikana

Takribani miaka 2 tangu kifo cha Mwasisi wa Makanisa ya Mlima wa Moto Mikocheni ‘B’, Getrude Rwakatare na sasa nafasi hiyo inachukuliwa na Rose Mgetta [...]
UVCCM yawakingia kifua bodaboda

UVCCM yawakingia kifua bodaboda

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kenani Kihongosi amesema chama kinawaonya viongozi wanaosababisha usumbufu kwa madereva [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 25, 2022

Viwango vya kubadili fedha Aprili 25, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.   [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 24, 2022

Viwango vya kubadili fedha Aprili 24, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
1 124 125 126 127 128 186 1260 / 1853 POSTS
error: Content is protected !!