Category: Kitaifa

1 136 137 138 139 140 203 1380 / 2029 POSTS
Panya Road wasimulia wanavyoiba

Panya Road wasimulia wanavyoiba

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limeendelea kuisimamia operesheni maalum kali na msako wa mtaa kwa mtaa dhidi ya vijana wanaojihusisha n [...]
Hali ya Corona nchini

Hali ya Corona nchini

Wizara ya Afya inaendelea kutoa taarifa kwa umma kuhusu hali ya ugonjwa wa UVIKO-19 nchini. Itakumbukwa kuwa ugonjwa huu ulitolewa taarifa kwa mara ya [...]
Bashungwa: “Nakupa miezi mitatu”

Bashungwa: “Nakupa miezi mitatu”

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amempa miezi mitatu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Musom [...]
WAKAZI: Wakristo tuache unafki

WAKAZI: Wakristo tuache unafki

Msanii wa Hip Hop kutoka nchini Tanzania, Wakazi ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha TCRA kuifungia video ya wimbo wa 'Mtasubiri" ya Diamond na Zuc [...]
Nauli mpya kutumika rasmi

Nauli mpya kutumika rasmi

Mkurugenzi wa Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini(LATRA) Johansen Kahatano amesema kulingana na hali halisi ya upandaji wa bei za mafuta, bei mpya za nauli [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 7, 2022

Viwango vya kubadili fedha Mei 7, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
TCRA waifungia video ya ‘Mtasubiri”

TCRA waifungia video ya ‘Mtasubiri”

Mamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeufungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz na Zuchu ya "Mtasubiri sana' baada ya kupata taarifa kutoka Ba [...]
Sabaya aachiwa

Sabaya aachiwa

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzie wawili wameshinda rufaa waliyokata kupinga adhabu ya miaka 30 jela na kuachiwa huru. M [...]
 Bunge lampa Makamba siku 6 

 Bunge lampa Makamba siku 6 

Wabunge wameitaka serikali kuja na mkakati wa dharura wa kunusuru kupanda kwa bei ya mafuta, huku wengine wao wakitaka kupunguzwa kwa baadhi ya tozo k [...]
Unakipenda kifo zaidi ya unavyodhani

Unakipenda kifo zaidi ya unavyodhani

"Enjoy! Maisha ni mafupi" kamsemo wanachoambiwa vijana wengi bila kujua ukubwa wake na namna unavyoweza kugharimu maisha yao. Utasikia Jamilla anas [...]
1 136 137 138 139 140 203 1380 / 2029 POSTS
error: Content is protected !!