Category: Kitaifa
Mbunge adhamini walimu kutalii mbugani
Mbunge wa jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amedhamini ziara ya siku mbili ya walimu wa sekondari na shule za msingi kwenda kutalii kwenye mbuga [...]
Waziri awataka watoa huduma sekta ya utalii kupata chanjo
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Damas Ndumbaro amesema watoa huduma kwenye sekta ya utalii nchini wanatakiwa kupata chanjo ya Korona (UVIKO-19) kw [...]
Rais Samia kufanikisha ujenzi wa jengo la tiba ya mionzi KCMC
Katika sherehe za Jubilei ya miaka 50 ya Hospitali ya KCMC, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu amesema Serikali itasimamia utekelezaji wa ahadi yake ya ku [...]
Kauli ya RC Makalla siku 3 kabla ya zoezi la kuondoa machinga
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amosi Makalla amewataka wafanyabiashara wadogo maarufu kama Machinga kutumia vizuri siku tatu zilizosalia kuhamia kwenye [...]
Sabaya na wenzake kukata Rufaa
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanatarajia kukata rufaa baada ya kutoridhishwa na hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hak [...]
Sabaya alivyoachiwa huru na Mahakama kwa kujifanya Afisa usalama
Sabaya alivyoachiwa huru na Mahakama kwa kujifanya Afisa usalama
Agosti 2016 Polisi mkoani Arusha walimkamata aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sambasha [...]
Rais Samia awataka wananchi wa Kilimanjaro kudumisha amani na upendo
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa mkoani Kilimanjaro kudumisha amani ili kuipa Serikali nafasi ya kutatua changamoto zao akiwa kwenye uz [...]
Sabaya alivyowataja Magufuli na Mpango mahakamani kwenye utetezi wake
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya leo Ijumaa tarehe 15 Oktoba amehukumiwa miaka 30 Jela kwa makosa ya Unyang’anyi wa kutumia silaha. Huk [...]
Sabaya jela miaka 30
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha. Kabla [...]
Wasifu mfupi wa Lengai Ole Sabaya
Lengai Ole Sabaya amezaliwa 26/12/1986 mkoani Arusha. Amesoma Shahada ya Sayansi katika Elimu Chuo Kikuu cha Mtakatifu John Dodoma (St. John Universit [...]