Category: Kitaifa

1 172 173 174 175 176 177 1740 / 1769 POSTS
Mzazi amuuza mtoto wake kwa shilingi laki moja

Mzazi amuuza mtoto wake kwa shilingi laki moja

Septemba 7 mwaka huu, Jeshi la Polisi mkoani Mbeya lilitangaza kuwashikilia watu wawili kwa tuhuma ya kufanya biashara ya watoto. Watu hao, Daniel Jul [...]
Taarifa ya serikali kuhusu ajira 10,000 za walimu

Taarifa ya serikali kuhusu ajira 10,000 za walimu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amesema wizara hiyo inasubiria kupata kibali cha kuajiri wa [...]
Serikali kujenga shule za wasichana 26, na za kata 1,000

Serikali kujenga shule za wasichana 26, na za kata 1,000

Serikali imepanga kuanza kutekeleza mpango wa ujenzi wa shule za sekondari za wasichana kila mkoa na nyingine 1,000 kwenye kata zisizokuwa na sekondar [...]
Mbowe afikishwa makamani mbele ya jaji mpya

Mbowe afikishwa makamani mbele ya jaji mpya

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi kwa ajili ya k [...]
Jamhuri yasema uchunguzi kesi ya Rugemalira haujakamilika

Jamhuri yasema uchunguzi kesi ya Rugemalira haujakamilika

Kesi  ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania L [...]
Serikali kuendelea kuwapima wanafunzi mimba

Serikali kuendelea kuwapima wanafunzi mimba

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omari Kipanga amesema utaratibu wa kuwapima mimba wanafunzi wanapotoka likizo unaendelea katika shule mb [...]
Serikali kubadili umri wa mtoto wa kike kuolewa

Serikali kubadili umri wa mtoto wa kike kuolewa

Serikali inakusudia kufanya mabadiliko ya Sheria ya Ndoa ya Tanzania ambayo kwa muda mrefu sasa imekuwa moja sheria ambazo zinakumbana na upinzani mar [...]
Uchumi wa Tanzania unaimarika

Uchumi wa Tanzania unaimarika

Viashiria vinavyoonesha uchumi wa Tanzania umezidi kuimarika Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imetangaza mwenendo wa viashiria vya kiuchumi vya muda [...]
Maana ya vitu 7 vya kimila alivyopewa Chifu Hangaya (Rais Samia)

Maana ya vitu 7 vya kimila alivyopewa Chifu Hangaya (Rais Samia)

  Rais Samia Suluhu Hassan leo ametawazwa na Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) kuwa Chifu Mkuu wa machifu wote nchini na kumpa jina la Chifu Han [...]
Wanaotaka kujenga ghorofa kuanzia Jeshi la Zimamoto

Wanaotaka kujenga ghorofa kuanzia Jeshi la Zimamoto

Bunge limefanya marekebisho ya sheria likiweka sharti kwa mtu yeyote anayekusudia kujenga jengo lenye urefu wa kuanzia mita 12 kutoka kwenye usawa wa [...]
1 172 173 174 175 176 177 1740 / 1769 POSTS
error: Content is protected !!