Category: Kitaifa

1 176 177 178 179 180 198 1780 / 1979 POSTS
Wito wa Rais Samia kwa Majaji na Mahakimu

Wito wa Rais Samia kwa Majaji na Mahakimu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Majaji na Mahakimu wote kutumia kitabu kipya cha ‘Tanzania Gender Bench B [...]
Ifahamu mikoa 14 nchini hatarini kupata ukame

Ifahamu mikoa 14 nchini hatarini kupata ukame

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), Dk. Agnes Kijazi amesema utabiriki unaonesha mikoa 14 nchini ambayo ni Mtwara, Lindi, Dodoma, [...]
Kauli ya Waziri Mkuu dhidi ya Chanjo Uviko-19

Kauli ya Waziri Mkuu dhidi ya Chanjo Uviko-19

Katika kuhakikisha wannachi wanapata chanjo ya Uviko-19, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  ametoa wito kwa watu kwenda kupata chanjo hiyo kwani badhi ya nc [...]
Soma hapa ushahidi mpiga picha wa Sabaya kwenye kesi ya kina Mbowe

Soma hapa ushahidi mpiga picha wa Sabaya kwenye kesi ya kina Mbowe

Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na wenzake watatu imeendelea leo katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na [...]
Majaliwa akataa gharama za Ujenzi kituo cha Afya

Majaliwa akataa gharama za Ujenzi kituo cha Afya

Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa amesema hajaridhiswhwa na gharama za upanuzi wa kituo cha afya Naipanga kilichopo Wilayani Nachingwea Mkoani Lindi kwa kus [...]
Waliovujisha mitihani ya uuguzi kukiona

Waliovujisha mitihani ya uuguzi kukiona

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima amewataka watanzania kuwa na subira wakati uchunguzi ukiendelea kuhusu [...]
Agizo la mahakama kwa aliyesambaza picha za ngono WhatsApp

Agizo la mahakama kwa aliyesambaza picha za ngono WhatsApp

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kumkamata Faraji Omary mwenye umri wa miaka 26 kwa kutotokea mahakamani bila kutoa taarifa. Faraji a [...]
Hiki ni kijiji mkoani Tanga ambacho makaburi yamefukuliwa na maiti kuibwa

Hiki ni kijiji mkoani Tanga ambacho makaburi yamefukuliwa na maiti kuibwa

Wananchi wa Mtaa wa Bwila, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wameiomba serikali kuingilia kati na kutafuta ufumbuzi wa tatizo lao kwani watu wasiojulikan [...]
Taharuki yatanda watoto kuuawa na Fisi

Taharuki yatanda watoto kuuawa na Fisi

Wakazi wa kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga wamekumbwa na hofu kufuatia kuwepo kwa matukio ya watoto kuliwa na fisi. Katika matukio hayo watoto [...]
Mjue Bibi Titi Mohammed, Mwanamke aliyezishinda Marekani na Urusi

Mjue Bibi Titi Mohammed, Mwanamke aliyezishinda Marekani na Urusi

Bibi Titi Mohammed, alizaliwa Dar es Salaam mwaka 1926, wazazi wake wote wakitokea Rufiji mkoa wa Pwani na walikuwa waumini wa dini ya Kiislamu. Baba [...]
1 176 177 178 179 180 198 1780 / 1979 POSTS
error: Content is protected !!