Category: Kitaifa
Machifu; Rais Samia ni ‘nyota ang’avu’.
Leo Rais Samia Suluhu, alikuwa jijini Mwanza akihitimisha tamasha la utamaduni. Moja kati ya mambo makubwa yaliyofanyika katika tamasha hilo, ni umoja [...]
Tanzania inaweza kutengeneza chanjo ya UVIKO-19
Wataalamu wa udhibiti na ufuatiliaji wa magonjwa kupitia mbinu ya Epidemiolojia na maabara (TANFLEA) wamesema Tanzania ina uwezo wa kutengen [...]
Serikali kununua ndege 5 za mafunzo ya urubani
Serikali imesema Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kitanunuliwa ndege tano za mafunzo ya urubani kuanzia mwaka huu wa fedha.
Naibu Waziri wa Uj [...]
Wasifu mfupi wa Jaji Luvanda aliyejitoa kesi ya Mbowe
Septemba 6, 2021 vichwa vya habari vilighubikwa na taarifa za jaji aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi inayowakabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman M [...]
Kikundi kilichoundwa na diwani chadaiwa kupiga wananchi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linachunguza madai ya wananchi wa Kijiji cha Uchau, wilayani Moshi kuwa kumekuwa na ukiukwaji wa haki z [...]
Wafahamu Marais 5 wa Afrika waliouawa wakiwa madarakani
Matukio ya kuuawa kwa viongozi wa juu wa nchi duniani yamekuwa yakipingua kasi katika miongo ya hivi karibuni, lakini hata kwa uchache wake bado yanat [...]
Gazeti la Raia Mwema lasitishiwa leseni ya uchapishaji na usambazaji
Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Habari, Gerson Msigwa kwa mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 9(b) cha Sheria ya Huduma za Habari Na.12 ya 2016 am [...]
Mhudumu wa afya aliyemshona mgonjwa na kumfumua makusudi apatikana
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imefanikiwa kumpata mhudumu wa afya ambaye video yake imesambaa baada ya kumfum [...]
Daktari amfumua mgonjwa kidonda baada ya kushindwa kulipia
Katika hali ya kushangaza mtaalamu wa afya ambaye hajafahamika amedaiwa kufumua nyuzi kwenye kidonda cha mgonjwa kwa madai mgonjwa huyo alishindwa kul [...]
Mbowe anaweza kufungwa miaka 15 jela
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu (Halfan Hassan, Adam Kasekwa na Mohamed Lingwenya) wanakabiliwa na mashtaka sita yakiwemo ya ku [...]