Category: Kitaifa

1 181 182 183 184 185 190 1830 / 1894 POSTS
Fahamu zaidi kuhusu mkutano atakaohutubia Rais Samia Marekani

Fahamu zaidi kuhusu mkutano atakaohutubia Rais Samia Marekani

Rais Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini na kwenda Marekani kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kidiplomasia kubwa ikiwa ni mkutano wa Baraza Kuu la [...]
Mfahamu Mchungaji wa kwanza mwanamke toka jamii ya Kimasai

Mfahamu Mchungaji wa kwanza mwanamke toka jamii ya Kimasai

Mchungaji Rebecca Maduley Kurubai, anaingia katika rekodi kuwa Mwanamke kutoka kabila la kimasai Tanzania kupadrishwa katika Kanisa la Kiinjili la Kil [...]
Rais Samia kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa

Rais Samia kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kesho tarehe 18 Septemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea New York nchin [...]
January Makamba aanza na TANESCO

January Makamba aanza na TANESCO

Waziri wa wa Nishati, January Makamba (MB) amefanya ziara fupi kwenye kituo cha udhibiti wa mfumo wa usafirishaji umeme (GCC) kilichopo  Ubungo jijini [...]
Songea namba 7 miji inayokua kwa kasi zaidi duniani

Songea namba 7 miji inayokua kwa kasi zaidi duniani

Ifikapo mwaka 2025 idadi ya watu duniani inakadiriwa itafika bilioni 8.1. Katika kipindi hiki miji mingi barani Ulaya imekuwa ikikua kwa kasi ndogo, l [...]
IGP Sirro afanya mabadiliko makamanda wa polisi

IGP Sirro afanya mabadiliko makamanda wa polisi

IGP Simon Sirro amefanya mabadiliko madogo ya kuwahamisha baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa kwa ajili ya kuboresha utendaji wa kazi za Polisi. [...]
Makalla ataja maeneo matano watakayoanza kuwaondoa Machinga

Makalla ataja maeneo matano watakayoanza kuwaondoa Machinga

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla amekutana na uongozi wa wafanyabiashara wadogo wadogo (Machinga) wa mkoa huo ili kutafuta njia bora ya kuw [...]
Yafahamu mataifa yenye nguvu kubwa za kijeshi Afrika 

Yafahamu mataifa yenye nguvu kubwa za kijeshi Afrika 

Mtandao wa Global Firepower kupitia utafiti wake umeorodhesha uwezo wa kila jeshi barani Afrika kulingana na idadi ya wanajeshi, uwezo wake wa angani, [...]
Madaktari wapendekeza chanjo ya UVIKO-19 iwe lazima

Madaktari wapendekeza chanjo ya UVIKO-19 iwe lazima

Katika kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19, waganga wakuu wa mikoa wameishauri Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watot [...]
Sababu 5 za Rais wa CWT kusimamishwa kazi

Sababu 5 za Rais wa CWT kusimamishwa kazi

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimemsimamisha kazi Rais wa chama hicho, Leah Ulaya kutokana na masuala mengi ikiwamo kushindwa kuwaunganisha walimu m [...]
1 181 182 183 184 185 190 1830 / 1894 POSTS
error: Content is protected !!