Category: Kitaifa

Rekodi ya Rais Samia Umoja wa Mataifa
Rais Samia Hassan Suluhu leo Septemba 23, 2021 atahutubia mkutano wa 76 wa Baraza la Umoja jiijini New York, Marekani.
Historia inaonesha kuwa Tanz [...]
Kesi ya Mbowe yatupiliwa mbali
Mahakama Kuu ya Tanzania imetupilia mbali kesi ya kikatiba ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, aliyekuwa akipinga namna alivyokamatwa, kuwekwa ki [...]
Rais Samia ahimiza kuimarishwa biashara kati ya Tanzania na Marekani
Rais Samia Suluhu Hassan amewahimiza na kuwaeleza wafanyabiashara wa Tanzania na Marekani kuimarishwa ushirikiano wa kibiashara kati ya mataifa hayo m [...]
Achoma nyumba moto kisa mapenzi
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Kida, mkazi wa jijini Tanga, anadaiwa kuchoma moto nyumba ya mama mzazi wa mpenzi wake.
Tukio hilo lime [...]
Trilioni 1 zapatikana soko la madini Geita
Soko kuu la dhahabu mjini Geita limeingiza jumla ya shilingi trilioni 1.1 tangu kuanzishwa kwake mwa 2018.
Akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi [...]
Bajaji iliyonunuliwa na Magufuli yaibwa
Juni 19, 2020, aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt John Pombe Magufuli, alimsaidia mwanamke mwenye ulemavu wa miguu kupata b [...]
Daraja jipya la Tanzanite kuanza kutumika Desemba 2021
Mradi wa ujenzi wa Daraja la Tanzanite mkoani Dar es Salaam unaosimamiwa na serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), umefikia asilimia [...]
Benki ya Dunia kushirikiana zaidi na Tanzania
Benki ya Dunia iimesema itaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kukuza uchumi kupitia mabadiliko ya kidijitali kwa kushirikiana na sekt [...]
Msigwa: Uwekezaji wakaribia Dola Bilioni 3 ndani ya miezi mitano
Tanzania imesajili kampuni na taasisi za uwekezaji wenye thamani ya Dola Bilioni 2.9 ndani ya miezi mitano kuanzia Machi 2021. K [...]
Agizo la TAMISEMI wanaoomba rushwa upandishaji madaraja walimu
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imebaini uwepo wa vitendo vya rushwa katika upandishaji wa madaraja ya walimu na kuagiz [...]