Category: Kitaifa

1 193 194 195 196 197 203 1950 / 2027 POSTS
Rais Samia ahimiza kuimarishwa biashara kati ya Tanzania na Marekani

Rais Samia ahimiza kuimarishwa biashara kati ya Tanzania na Marekani

Rais Samia Suluhu Hassan amewahimiza na kuwaeleza wafanyabiashara wa Tanzania na Marekani kuimarishwa ushirikiano wa kibiashara kati ya mataifa hayo m [...]
Achoma nyumba moto kisa mapenzi

Achoma nyumba moto kisa mapenzi

Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Kida, mkazi wa jijini Tanga, anadaiwa kuchoma moto nyumba ya mama mzazi wa mpenzi wake. Tukio hilo lime [...]
Trilioni 1 zapatikana soko la madini Geita

Trilioni 1 zapatikana soko la madini Geita

Soko kuu la dhahabu mjini Geita limeingiza jumla ya shilingi trilioni 1.1 tangu kuanzishwa kwake mwa 2018. Akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi [...]
Bajaji iliyonunuliwa na Magufuli yaibwa

Bajaji iliyonunuliwa na Magufuli yaibwa

Juni 19, 2020, aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt John Pombe Magufuli, alimsaidia mwanamke mwenye ulemavu wa miguu kupata b [...]
Daraja jipya la Tanzanite kuanza kutumika Desemba 2021

Daraja jipya la Tanzanite kuanza kutumika Desemba 2021

Mradi wa ujenzi wa Daraja la Tanzanite mkoani Dar es Salaam unaosimamiwa na serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), umefikia asilimia [...]
Benki ya Dunia kushirikiana zaidi na Tanzania

Benki ya Dunia kushirikiana zaidi na Tanzania

Benki ya Dunia iimesema itaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kukuza uchumi kupitia mabadiliko ya kidijitali kwa kushirikiana na sekt [...]
Msigwa: Uwekezaji wakaribia Dola Bilioni 3 ndani ya miezi mitano

Msigwa: Uwekezaji wakaribia Dola Bilioni 3 ndani ya miezi mitano

Tanzania imesajili kampuni na taasisi za uwekezaji wenye thamani ya Dola Bilioni 2.9 ndani ya miezi mitano kuanzia Machi 2021. K [...]
Agizo la TAMISEMI wanaoomba rushwa upandishaji madaraja walimu

Agizo la TAMISEMI wanaoomba rushwa upandishaji madaraja walimu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imebaini uwepo wa vitendo vya rushwa katika upandishaji wa madaraja ya walimu na kuagiz [...]
Rais Samia: Mabadiliko ya tabia ya nchi yanaathiri Watanzania 60%

Rais Samia: Mabadiliko ya tabia ya nchi yanaathiri Watanzania 60%

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ameshiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa uliojadili athari za mabadiliko ya tabia nchi yanayoikumba dunia na kusis [...]
Ndugulile atoa neno la mwisho, akabidhi ofisi

Ndugulile atoa neno la mwisho, akabidhi ofisi

Aliyekuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amekabidhi ofisi kwa waziri mpya, Dkt. Ashatu Kijaji na kumshukuru Ra [...]
1 193 194 195 196 197 203 1950 / 2027 POSTS
error: Content is protected !!