Category: Kitaifa

1 41 42 43 44 45 193 430 / 1924 POSTS
Le Mutuz afariki dunia

Le Mutuz afariki dunia

Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, William Malecela, maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam. Taarifa za kifo [...]
Vibali vya minara kutoka ndani ya mwezi mmoja na sio miezi 6

Vibali vya minara kutoka ndani ya mwezi mmoja na sio miezi 6

Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zinazohusika na utoaji wa vibali vya ujenzi wa minara ya simu kwa kampuni za simu kutoa vibali hivyo ndani [...]
Fahamu wasifu wa marehemu Bernard Kamilius Membe

Fahamu wasifu wa marehemu Bernard Kamilius Membe

Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) walioza [...]
Membe afariki dunia

Membe afariki dunia

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Mhe.Bernard Kamilius Membe, amefariki dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam [...]
Rais Samia aridhia miaka 30 kulipa Magomeni Kota

Rais Samia aridhia miaka 30 kulipa Magomeni Kota

Wakala wa Mjengo Tanzania (TBA) umesema Rais Samia Suluhu ameridhia wakazi 644 wa Magomeni Kota, Dar es Salaam waongezewe muda wa ununuzi wa nyumba zi [...]
TAMISEMI: Waziri Dugange hajajiuzulu

TAMISEMI: Waziri Dugange hajajiuzulu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imesema Naibu Waziri wa Ofisi hiyo anayeshughulikia Afya Dk Festo Dugange hajajiuzulu wa [...]
Bar zaidi ya 80 zafungiwa na NEMC

Bar zaidi ya 80 zafungiwa na NEMC

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezifungia Bar za wazi zaidi ya 80 baada kukuta kelele zilizo kinyume cha sheria ya usim [...]
Rais Samia aanza mchakato wa kupata Katiba Mpya

Rais Samia aanza mchakato wa kupata Katiba Mpya

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhes. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mutungi, kuitisha kikao maalum cha Baraz [...]
Biashara kati ya Tanzania na Ufaransa yaongezeka

Biashara kati ya Tanzania na Ufaransa yaongezeka

Ukuaji wa biashara kati ya Tanzania na Ufaransa umeongezeka kutoka kiasi cha shilingi billioni 27.8 kwa mwaka 2015 hadi bilioni 94.5 kwa mwaka 2022. [...]
1 41 42 43 44 45 193 430 / 1924 POSTS
error: Content is protected !!