Category: Kitaifa
Rais Samia atengua zuio la mikutano ya hadhara
Rais Samia Suluhu Hassan ameruhusu kufanyika kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyozuiliwa kwa muda huku akiwataka wanasiasa kufanya siasa z [...]
Rais Samia: Hakuna atakayekosa shule
Wakati shule za msingi na sekdnoari nchini zikitarajiwa kufunguliwa Jamatatu ijayo, Rais Samia Suluhu amesema hakuna mwanafunzi atakayekosa nafasi ya [...]
Asimilia 99 ya lengo yakusanywa na TRA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya TZS trilioni 12.46 kati ya Julai hadi Desemba 2022, sawa na 99% ya lengo la kukusanya TZS trilioni 12.48. [...]
Mrithi wa TICTS apatikana
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imepata mtoa huduma w amuda, Kampuni ya Adani Zone Limited (APSEZ) ya nchini India atakayefanya kazi ya kuondoa maka [...]
Fahamu jinsi ya kuepuka maumivu ya Januari 2023
‘Njaanuari’ ndivyo ambavyo baadhi ya watu huuita Januari ambao kwa mujibu wa kalenda ndiyo mwezi wa kwanza wa mwaka.
Jina hilo linaashiria machungu y [...]
Salamu za mwaka mpya za Rais Samia Suluhu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amehutubia Taifa nakutoa salam za kuaga Mwaka 2022 na kuukaribisha Mwaka mpya wa 2023 [...]
Fahamu fukwe 5 zisizo na kiingilio Dar es Salaam
Najua utajuliza kuhusu gharama na mwingiliano wa watu ambao wakati mwingine unaweza kusababisha kukosekana kwa utulivu, usihofu zipo fukwe nyingi jiji [...]
Top 6 Watanzania waliong’ara 2022
Kama hatua za binadamu zinavyopishana pale atembeapo ndivyo maisha ya binadamu yalivyo. Wakati mmoja akienda mbele mmoja hubaki nyuma na Waswahili wa [...]
Ajiua akihofia kudaiwa hela ya soda
Kijana anayefahamika kwa jina la Bukindu Bukindu (22), mkazi wa kijiji cha Ihega, Kata ya Bukoli wilayani Geita amejiua kwa kunywa sumu ya panya, aki [...]
Sangara wapungua Ziwa Victoria
Samaki aina ya sangara wamepungua katika Ziwa Victoria kutoka tani 537,479 mwaka 2020 hadi tani 335,170 kwa mwaka 2021.
Ofisa Uvuvi wa Mkoa wa Mwan [...]