Category: Kitaifa

1 66 67 68 69 70 184 680 / 1834 POSTS
Kampuni 34 kutoka Misri zafuata fursa Tanzania

Kampuni 34 kutoka Misri zafuata fursa Tanzania

Jumla ya kampuni  34 kutoka Misri zimeshiriki Mkutano wa Kibiashara jijini Dar es Salaam kwa lengo la kutafuta fursa za uwekezaji na biashara zilizopo [...]
Mradi wa gesi LPG kuanza mwaka huu

Mradi wa gesi LPG kuanza mwaka huu

Waziri wa Nishati, January Makamba amesema mradi wa kuchakata gesi asilia mita za ujazo bilioni 4.6 na bidhaa nyingine ya gesi ya kupikia (LPG), unata [...]
Rais Samia atoa bilioni 2.7 kwa ajili ya tiba asili

Rais Samia atoa bilioni 2.7 kwa ajili ya tiba asili

Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa sh. Bilioni 2.7 ili zitumike kufanya utafiti katika sekta ya tiba asili nchini. Taarifa ya kutolewa kwa fedha hizo [...]
Angellah Kairuki ateuliwa kuwa Waziri wa TAMISEMI

Angellah Kairuki ateuliwa kuwa Waziri wa TAMISEMI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Amemteua Angellah Jasmine Kairu [...]
Bashungwa ateuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Bashungwa ateuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Amemteua Mhe. Innocent Lugha Ba [...]
Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume

Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume

Mgombea wa nafasi ya mjumbe wa halmashauri ya CCM wilaya ya Dodoma amewavunja mbavu wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya baada ya kuwaomba wamchague kwa [...]
Mahakama: Uamuzi wa kuwaondoa Wamasai ulikua kisheria

Mahakama: Uamuzi wa kuwaondoa Wamasai ulikua kisheria

Mahakama ya Afrika Mashariki imesema uamuzi iliyochukuliwa na serikali ya Tanzania wa kuzingira ardhi kwa ajili ya ulinzi wa wanyamapori na kuwaondoa [...]
Mapato ya utalii yazidi kupaa

Mapato ya utalii yazidi kupaa

Mapato yanayotokana na utalii yameongezeka kutoka Dola za Kimarekani milioni 714.59 kwa mwaka 2020 hadi kufikia Dola za Kimarekani milioni 1,310.34 (z [...]
Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, pamoja na Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic, Mhe. Grace Olotu na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe [...]
Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Dkt. [...]
1 66 67 68 69 70 184 680 / 1834 POSTS
error: Content is protected !!