Category: Kitaifa

1 81 82 83 84 85 193 830 / 1930 POSTS
Ahadi ya Rais Samia kwa WaKenya

Ahadi ya Rais Samia kwa WaKenya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amempongeza Rais wa Kenya William Ruto kwa kuapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa n [...]
Waziri Makamba azindua kiwanda cha kuzalisha transfoma

Waziri Makamba azindua kiwanda cha kuzalisha transfoma

Waziri wa Nishati, January Makamba amezindua kiwanda cha kuzalisha transfoma cha kampuni ya Elsewedy Electrica Industrial Complex kilichopo Kigamboni [...]
Samia: Hakuna upungufu wa chakula

Samia: Hakuna upungufu wa chakula

Rais Samia Suluhu Hassan amesema bado Tanzania ina chakula cha kutosha na hakuna tishio la kuwa na uhaba. Alibainisha hayo jana katika uwanja wa Be [...]
Uber na Bolt kurejesha huduma

Uber na Bolt kurejesha huduma

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imesema, kampuni za usafiri kwa njia ya mtandao Bolt na Uber zinatarajia kurejea kutoa huduma za usafir [...]
Bima ya afya kwa wote

Bima ya afya kwa wote

Rais Samia Suluhu amesema mkutano wa Bunge utakaoanza kesho, pamoja na mambo mengine, utapitia na kupitisha Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote [...]
Waziri Aweso amsimamisha kazi Meneja wa RUWASA

Waziri Aweso amsimamisha kazi Meneja wa RUWASA

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemsimamisha Kazi Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijini RUWASA wilaya Karagwe, Mhandisi Magai Kakuru kwa [...]
Rais Samia amaliza mgogoro uliodumu kwa miaka 22 Mtwara

Rais Samia amaliza mgogoro uliodumu kwa miaka 22 Mtwara

Rais Samia Suluhu Hassan ameidhinisha malipo ya Sh milioni 816.7 ikiwa ni fidia kwa wananchi wa Mangamba Juu manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwar [...]
Kikwete ampa tano Rais Samia Suluhu

Kikwete ampa tano Rais Samia Suluhu

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kuunda kikosi kazi cha ukusanyaji wa maoni, kuhusu [...]
Rungu la TCRA lawashukia Zama Mpya

Rungu la TCRA lawashukia Zama Mpya

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeitoza faini ya Sh milioni mbili luninga ya mtandaoni ya Zama Mpya kwa kosa la kuchapis [...]
Maambukizi ya Uviko-19 yapungua nchini

Maambukizi ya Uviko-19 yapungua nchini

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini imepungua kutokana na hatua mbalimbali zinazochukuliwa kudhibiti [...]
1 81 82 83 84 85 193 830 / 1930 POSTS
error: Content is protected !!