Category: Michezo

1 13 14 15149 / 149 POSTS
Rais Samia kutoa zawadi ya dola 60,000 bingwa wa CECAFA

Rais Samia kutoa zawadi ya dola 60,000 bingwa wa CECAFA

Rais wa shirikisho la soka Tanzania( TFF) Wallace Karia ametangaza udhamini uliotolewa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan wa mashindano ya Afrik [...]
Antonio Nugaz afunguka baada ya kuondoka Yanga

Antonio Nugaz afunguka baada ya kuondoka Yanga

Kupitia instagram, Nuga amewashukuru ‘Wananchi’ huku pia akitoa ahadi ya ‘kuonana nao tena’, japo haijafamika ataonana nao kwa namna gani. Nugaz am [...]
Manara kutambulishwa Yanga na Nugaz kuondoka

Manara kutambulishwa Yanga na Nugaz kuondoka

Klabu ya Yanga imetangaza kuachana na aliyekuwa afisa mhamasishaji wao, Juma Khatib Nugaz, maarufu kama Antonio Nugaz i.Uongozi wa Yanga unasema umeam [...]
Manara ampiga kijembe Mo, Morrison aingilia kati

Manara ampiga kijembe Mo, Morrison aingilia kati

Tangu aliyekuwa Msemaji wa Simba SC, Haji Manara alipoondoka katika klabu hiyo kumekuwa na mfululizo wa matukio mbalimbali ambayo yalipamba moto zaidi [...]
Ifahamu historia ya Haji Manara

Ifahamu historia ya Haji Manara

Miaka ya 1970, Tanzania ilimshuhudia Sunday Manara, mzaliwa wa Kigoma aliyejaaliwa ufundi wa kusakata kabumbu. Sunday alifahamika kama 'computer' kuto [...]
Historia ya Yanga na mgogoro uliopeleka Simba kuanzishwa

Historia ya Yanga na mgogoro uliopeleka Simba kuanzishwa

  kuanzishwaHistoria ya Klabu ya Yanga inatokea tangu enzi za miaka ya 1910, ingawaje historia kamili ilianza kuandikwa mwaka 1935. Klabu hiyo [...]
Timu za soka kongwe zaidi Tanzania

Timu za soka kongwe zaidi Tanzania

Mchezo wa soka umekuwepo Tanzania miaka mingi kabla ya uhuru. Japo inaelezwa kwamba kulikuwa na timu nyingi hapo kabla, historia za timu nyingi zimean [...]
Ronaldo akaribia kuachana na kibibi cha Turini

Ronaldo akaribia kuachana na kibibi cha Turini

Leo Ijumaa Cristiano Ronaldo ametumia saa moja tu katika viwanja vya mazoezi ya klabu ya Juventus kufungasha kilicho chake pamoja na kutoa mkono kwa k [...]
Mambo makubwa manne ya kujifunza Manara kutimkia Yanga

Mambo makubwa manne ya kujifunza Manara kutimkia Yanga

Katika hali isiyokuwa ya kawaida aliyekuwa Afisa Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara ametangazwa rasmi kujiunga na Klabu ya Yanga kama mhamasishaji. [...]
1 13 14 15149 / 149 POSTS
error: Content is protected !!