Tag: habari kubwa za michezo
Masanja akutwa na hatia ya kuzini na mwanawe
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Masanja Shija (58) baada ya kumkuta na hatia ya kufanya m [...]
Tanzania kusambaza umeme Afrika
Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya kilovoti 400 kutoka Iringa, Tanzania hadi Zambia (TAZA) utaanza kutekelezwa Januari mwakani na utakami [...]
Makongoro: Nimenusurika
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amshukuru Rais Samia Suluhu Hassan wa kuendelea kuhudumu katika mkoa huo.
Makongoro ameyasema hayo leo hi [...]
SUMA JKT waendelea na ujenzi wa nyumba 400 Msomera
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amekagua ujenzi wa nyumba mpya 400 katika kijiji cha Msomera Wilayani Handeni, Mkoani Tang [...]
Walioathiriwa na ajali ya basi Mtwara kulipwa fidia
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imeiagiza kampuni ya bima ya Reliance ihakikishe waathirika wote wa ajali iliyoua watu 13 wakiwemo watoto [...]
Waliorusha picha za ajali Mtwara wasakwa
Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewataka mara moja wale wote waliosambaza picha za miili ya watoto wa shule ya msingi King Dav [...]
Magazeti ya leo Julai 27,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Julai 27,2022.
[...]
Rais Samia afanya uteuzi
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Caroline Kitana Chipeta kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini [...]
Rais Samia atuma salamu za pole Mtwara
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa wafiwa waliopoteza ndugu kufuatia ajali iliyotokea Mtwara na kusababisha vifo vya watu 10 wakiwemo [...]
Ajali ya basi la shule yaua watu 10 Mtwara
Watu 10 wamefariki asubuhi hii baada ya Basi dogo la Wanafunzi (Toyota Hiace T207 CTS) la Shule ya King David Mtwara kupata ajali Mikindani Mtwara baa [...]

