Tag: habari kubwa za michezo

1 60 61 62 63 64 123 620 / 1222 POSTS
Masanja akutwa na hatia ya kuzini na mwanawe

Masanja akutwa na hatia ya kuzini na mwanawe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Masanja Shija (58) baada ya kumkuta na hatia ya kufanya m [...]
Tanzania kusambaza umeme Afrika

Tanzania kusambaza umeme Afrika

Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya kilovoti 400 kutoka Iringa, Tanzania hadi Zambia (TAZA) utaanza kutekelezwa Januari mwakani na utakami [...]
Makongoro: Nimenusurika

Makongoro: Nimenusurika

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amshukuru Rais Samia Suluhu Hassan wa kuendelea kuhudumu katika mkoa huo. Makongoro ameyasema hayo leo hi [...]
SUMA JKT waendelea na ujenzi wa nyumba 400 Msomera

SUMA JKT waendelea na ujenzi wa nyumba 400 Msomera

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amekagua ujenzi wa nyumba mpya 400 katika kijiji cha Msomera Wilayani Handeni, Mkoani Tang [...]
Walioathiriwa na ajali ya basi Mtwara kulipwa fidia

Walioathiriwa na ajali ya basi Mtwara kulipwa fidia

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imeiagiza kampuni ya bima ya Reliance ihakikishe waathirika wote wa ajali iliyoua watu 13 wakiwemo watoto [...]
Waliorusha picha za ajali Mtwara wasakwa

Waliorusha picha za ajali Mtwara wasakwa

Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewataka mara moja wale wote waliosambaza picha za miili ya watoto wa shule ya msingi King Dav [...]
Magazeti ya leo Julai 27,2022

Magazeti ya leo Julai 27,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Julai 27,2022. [...]
Rais Samia afanya uteuzi

Rais Samia afanya uteuzi

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Caroline Kitana Chipeta kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini [...]
Rais Samia atuma salamu za pole Mtwara

Rais Samia atuma salamu za pole Mtwara

Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa wafiwa waliopoteza ndugu kufuatia ajali iliyotokea Mtwara na kusababisha vifo vya watu 10 wakiwemo [...]
Ajali ya basi la shule yaua watu 10 Mtwara

Ajali ya basi la shule yaua watu 10 Mtwara

Watu 10 wamefariki asubuhi hii baada ya Basi dogo la Wanafunzi (Toyota Hiace T207 CTS) la Shule ya King David Mtwara kupata ajali Mikindani Mtwara baa [...]
1 60 61 62 63 64 123 620 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!