Tag: habari magazetini
Neema kwa mafundi uwashi Mtwara
Ilizoeleka kwamba miradi inayotokea kwenye maeneo mbalimbali nchini tenda ilikuwa ikipewa kwa mafundi na wakandarasi kutoka nje lakini hali imekuwa to [...]
Mange amkana mbea wake
Mmiliki wa MangeKimambi App, Mange Kimambi amesema msichana aliyekamatwa na mke wa msanii Roma Mkatoliki sio mfanyakazi wake na hivyo kinachoendelea n [...]
Alawiti na kubaka kisa chumvi
Jeshi la polisi mkoani Geita linamtafuta mkazi wa kijiji cha Bukori (jina limehifadhiwa), kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti watoto watatu wa darasa [...]
Harmonize: sifanyi promotion
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Rajab Abdul maarufu kama Harmonize, amekanusha taarifa za kuwepo kwa video ya nyimbo yake kama baadhi ya waandishi wa [...]
Kubenea apigwa spana kesi ya Makonda
Maombi ya mwanahabari Saed Kubenea ya kumfungulia mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda k [...]
Uchunguzi na matibabu ya TB ni bure
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali imefuta gharama za uchunguzi kwa wagonjwa wote wenye dalili za kifua kikuu waweze kupata huduma hiyo kwa [...]
Wazazi wachochea binti kujinyonga kisa mapenzi
Binti mmoja mkaaji wa Kaskazini Unguja, Zanzibar amefariki baada ya kujinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake mchana wa Machi 16.
Kamanda wa Po [...]
Steve : Natoa masaa 48
Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT), Steve Nyerere ametoa masaa 48 kwa Mbunge wa Muheza, Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA na wasanii w [...]
Kaburi la vijana wengi
Vijana wengi wamekuwa wakishindwa kutoka kwenye kaburi la kupata mafanikio na kusonga mbele katika maisha na hii ni kutokana na kuwa ndani ya kifungo [...]
Ijue baiskeli ghali zaidi duniani
Huku wengi wakitafuta usafiri kununua ili kurahisisha mizunguko ya hapa na pale, wengi huwaza kwanza magari ya kifahari ambavyo pia gharama zake zipo [...]

