Tag: habari magazetini
Faru Rajabu afariki
Shirika la Hifadhi ya Taifa Tanzania (TANAPA) limetoa taarifa kuhusu kifo cha Faru Rabaju aliyefariki usiku wa kuamkia leo Machi 21, 2022 akiwa na mia [...]
Pastor Myamba apata ajali
Emmanuel Myamba maarufu kama Pastor Myamba ametoa taarifa ya kupatwa na ajali mbaya yeye pamoja na familia yake wakati wakielekea kwenye ibada.
Ame [...]
Kanye West afutwa Grammy 2022
Rapa kutoka nchi Marekani Ye au Kanye West amefutwa kwenye orodha ya wasanii wanaotarajia kutumbuiza kwenye Tuzo za Grammy 2022 kutokana na matendo ya [...]
Waliofariki ajali ya Morogoro kulipwa
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira) imesema waathirika wote wa ajali iliyotokea mkoani Morogoro hivi karibuni na kusababisha vifo vya watu 23 [...]
Aina 5 za wanaume wanaoweza kuathiri mafanikio yako
Wanasema aina ya watu wanaokuzunguka inaweza kuonesha aina ya maisha unayoishi ama unayotamani kuyaishi. Huwezi kupenda mafanikio nauzungukwe na watu [...]
TMDA: Marufuku sigara hadharani
Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) Kanda ya Kati, Sonia Mkumbwa ameeleza kuwa watumiaji wa bidhaa za Tumbaku watatakiwa kut [...]
Mwaka Mmoja bila Magufuli
Leo Watanzannia wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Dk John Joseph Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17, 2021, hu [...]
Ajinyonga na waya
Abdul Kasuku (16) mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Mpigimahoge amedaiwa kujinyonga kwa waya jana asubuhi katika shamba la mihog [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 16,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 16,2022. Husikubali kupitwa
https://www.youtube.com/watch?v=njxSViO [...]
Mume aua mke na mtoto kisa mchele
Jeshi la polisi linawashikilia wanaume wawili wakazi wa Nkungwi, Katavi kwa mauaji ya watu wawili.
Dutu Maige akishirikiana na Yusuph Sita wanadaiw [...]

