Tag: habari za burudani
Aliyemchinja mtoto auawa
Mzee mmoja mkazi wa Siha, Kilimanjaro amepigwa hadi kufa na wananchi wenye hasira kali baada ya kubainika kumchinjwa mtoto wa miaka miwili kijiji cha [...]
Idadi ya waliokufa maji yafikia 443
Watu 443 wamefariki dunia kufuatia mafuriko na mmomonyoko wa ardhi KwaZulu-Natal, nchini Afrika Kusini huku wengine 63 wakiendelea kutafutwa wasioneka [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Aprili 18,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumatatu Aprili 18,2022. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watc [...]
Aliyekuwa Meya wa Moshi ang’oa misaada yake
Juma Raibu aliyekuwa Meya Mstahiki wa Manispaa ya Moshi ambaye hivi karibuni aling’olewa wadhifa huo ameamua kwenda kung’oa misaada aliyowahi kuitoa k [...]
Filamu ya Royal Tour jijini New York leo
Filamu ya Royal Tour inayozinduliwa leo jijini New York, nchini Marekani ambayo mhusika mkuu ni Rais Samia Suluhu Hassan, inakwenda kuitangaza Tanzani [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 18, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Rais wa Burundi ajitwika msalaba
Ijumaa Kuu ni siku ya kukumbuka mateso ya Yesu na makanisa mbalimbali kuigiza mateso ya Yesu kama njia ya kufundisha waumini kuhusu alivyojitoa Yesu k [...]
Bodaboda ajinyonga kwa mkanda
Idrisa Salum Milundiko (24), mkazi wa Kitongoji cha Kasokola Mashariki B wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi anayejihusisha na uendeshaji wa bodaboda, ame [...]
Diamond: Mimi ndio chanzo tuzo kufa
Mmiliki wa lebo ya Wasafi na msanii, Diamond Platnumz amefungua na kueleza kuwa yeye ndiyo chanzo cha kusitishwa kwa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) mia [...]
Maunda Zorro kuzikwa kesho
Mwili wa Msanii Maunda Zorro unatarajiwa kuagwa na kuzikwa siku ya Jumamosi Aprili 16 eneo la Toangoma, Kigamboni.
Hayo yamesemwa jana Alhamisi Apri [...]

