Tag: habari za burudani

1 109 110 111 112 113 154 1110 / 1532 POSTS
Aliyemchinja mtoto auawa

Aliyemchinja mtoto auawa

Mzee mmoja mkazi wa Siha, Kilimanjaro amepigwa hadi kufa na wananchi wenye hasira kali baada ya kubainika kumchinjwa mtoto wa miaka miwili kijiji cha [...]
Idadi ya waliokufa maji yafikia 443

Idadi ya waliokufa maji yafikia 443

Watu 443 wamefariki dunia kufuatia mafuriko na mmomonyoko wa ardhi KwaZulu-Natal, nchini Afrika Kusini huku wengine 63 wakiendelea kutafutwa wasioneka [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Aprili 18,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Aprili 18,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumatatu Aprili 18,2022. Husikubali kupitwa. https://www.youtube.com/watc [...]
Aliyekuwa Meya wa Moshi ang’oa misaada yake

Aliyekuwa Meya wa Moshi ang’oa misaada yake

Juma Raibu aliyekuwa Meya Mstahiki wa Manispaa ya Moshi ambaye hivi karibuni aling’olewa wadhifa huo ameamua kwenda kung’oa misaada aliyowahi kuitoa k [...]
Filamu ya Royal Tour jijini New York leo

Filamu ya Royal Tour jijini New York leo

Filamu ya Royal Tour inayozinduliwa leo jijini New York, nchini Marekani ambayo mhusika mkuu ni Rais Samia Suluhu Hassan, inakwenda kuitangaza Tanzani [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 18, 2022

Viwango vya kubadili fedha Aprili 18, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Rais wa Burundi ajitwika msalaba

Rais wa Burundi ajitwika msalaba

Ijumaa Kuu ni siku ya kukumbuka mateso ya Yesu na makanisa mbalimbali kuigiza mateso ya Yesu kama njia ya kufundisha waumini kuhusu alivyojitoa Yesu k [...]
Bodaboda ajinyonga kwa mkanda

Bodaboda ajinyonga kwa mkanda

Idrisa Salum Milundiko (24), mkazi wa Kitongoji cha Kasokola Mashariki B wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi anayejihusisha na uendeshaji wa bodaboda, ame [...]
Diamond: Mimi ndio chanzo tuzo kufa

Diamond: Mimi ndio chanzo tuzo kufa

Mmiliki wa lebo ya Wasafi na msanii, Diamond Platnumz amefungua na kueleza kuwa yeye ndiyo chanzo cha kusitishwa kwa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) mia [...]
Maunda Zorro kuzikwa kesho

Maunda Zorro kuzikwa kesho

 Mwili wa Msanii Maunda Zorro unatarajiwa kuagwa na kuzikwa siku ya Jumamosi Aprili 16 eneo la Toangoma, Kigamboni. Hayo yamesemwa jana Alhamisi Apri [...]
1 109 110 111 112 113 154 1110 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!