Tag: habari za kimataifa

1 134 135 136 137 138 164 1360 / 1636 POSTS
Mayele ampa mtoto bao

Mayele ampa mtoto bao

Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Fiston Mayele amesema bao alilofunga kwenye mechi ya Ligi Kuu juzi kati ya timu yake na Geita Gold amempa zawadi mtoto [...]
Sabaya atemwa

Sabaya atemwa

Wakili aliyekuwa akisimamia na kumtetea aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (35) na wenzake 6 amejitoa katika k [...]
Pasha afariki vitani

Pasha afariki vitani

Muigizaji maarufu kutoka nchini Ukraine, Pasha li (33) amefariki akiwa vitani baada ya kushambuliwa na wanajeshi wa jeshi la Urusi katika mji wa Irpin [...]
Samia atimiza ahadi yake

Samia atimiza ahadi yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inafanya jitihada ya kuweka mazingira rafiki ya kufundishia na kujif [...]
Diamond aachia #FOA

Diamond aachia #FOA

Msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi, Diamond Platnumz ametoa kirefu cha jina la EP yake 'FOA' kwamba ni 'First Of All' kupitia ukurasa wake wa instagr [...]
Wanaume Geita walilia wake zao

Wanaume Geita walilia wake zao

Wanaume mkoani Geita wanaodai kutendewa vitendo vya ukatili na wake zao ikiwamo kupigwa na kunyimwa unyumba wamejitokeza kwa wingi katika dawati la ji [...]
URUSI: BEBA BENDERA YA TZ

URUSI: BEBA BENDERA YA TZ

Wanafunzi waliokuwa wamekwama katika mji wa Sumy-Ukraine kuanza kuondolewa kwa kupitia mpaka wa Urusi huku wakiambiwa wabebe mabegi na bendera za Tanz [...]
Vijana 853 waliofukuzwa waruhusiwa kurudi kwenye Makambi ya JKT

Vijana 853 waliofukuzwa waruhusiwa kurudi kwenye Makambi ya JKT

Vijana 854 kati ya 24000 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliofukuzwa na kusimamishwa mafunzo mwaka 2021 kwa kosa la vitendo vya uhasi wamesamehewa na [...]
Reli ya kisasa kuanza kutumika rasmi Aprili

Reli ya kisasa kuanza kutumika rasmi Aprili

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amewataka viongozi wa Shirika la Reli nchini (TRC) kuhakikisha ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), ki [...]
Miriam Odemba aziwaza tuzo za BASATA

Miriam Odemba aziwaza tuzo za BASATA

Mwanamitindo maarufu nchini, Miriam Odemba amejiunga rasmi na tasnia ya muziki ambapo katika siku ya kusherekea kumbukizi yake ya kuzaliwa akitimiza m [...]
1 134 135 136 137 138 164 1360 / 1636 POSTS
error: Content is protected !!