Tag: habari za kimataifa

1 134 135 136 137 138 171 1360 / 1707 POSTS
Athari 3 za matango

Athari 3 za matango

Matango ni moja wapo ya matunda yanayopendwa sana na hutumika kama kinga ya mwili na kwenye urembo wasichana hupaka usoni ili kuwa na ngozi nyororo na [...]
Harmonize: Rayvanny mwanangu

Harmonize: Rayvanny mwanangu

Msanii na mmiliki wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize anazidi kuionyesha jamii na ulimwengu mzima kwamba bado anampenda aliyewa [...]
Sababu za Afrika kukaa kando vita Urusi-Ukraine

Sababu za Afrika kukaa kando vita Urusi-Ukraine

Vita ya Ukraine na Urusi ambayo bado inaendelea imeitikisa dunia kwa kiwango kikubwa huku nchi, na kampuni mbalimbali zikichagua upande wa kuegemea ka [...]
Njombe wamshukuru Rais Samia

Njombe wamshukuru Rais Samia

Halmashauri ya Njombe mji ni miongoni wa Halmashauri ilionufaika na fedha za mpango wa ustawi na mapambano dhidi ya UVIKO-19. Miongoni mwa shule zi [...]
Rose Ndauka: Naacha muziki na kuigiza

Rose Ndauka: Naacha muziki na kuigiza

Msanii na Muigizaji kutoka nchini Tanzania, Naureen Mkongwa maarufu kwa jina la kisanaa Rose Ndauka, ametangaza kuachana na kazi zozote zinazojihusish [...]
Rick Ross kufika kilele cha Mlima Kilimanjaro

Rick Ross kufika kilele cha Mlima Kilimanjaro

Rapa wa Marekani William Leonard Roberts II (Rick Ross) leo Machi 31, 2022 katika mahojiano yake na Full Send Podcast ameweka bayana nia yake ya kupan [...]
Fahamu njia ya uzazi wa mpango kwa kugandisha mayai

Fahamu njia ya uzazi wa mpango kwa kugandisha mayai

Moja kati ya hofu ya wanawake wengi ni kuchelewa kupata mtoto kwa kuhofia mtoto kukosa virutubisho vya muhimu kwenye ukuaji lakini pia mayai kuzeeka i [...]
Bashungwa apigwa spana na Samia

Bashungwa apigwa spana na Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2020/2021 kutoka kwa Mkag [...]
Taarifa kwa umma

Taarifa kwa umma

Taarifa kwa umma kutoka Wizara ya Afya kuhusu magonjwa ya milipuko na matukio yanayoathiri afya ya binadamu hapa nchini. [...]
Neema kwa mafundi uwashi Mtwara

Neema kwa mafundi uwashi Mtwara

Ilizoeleka kwamba miradi inayotokea kwenye maeneo mbalimbali nchini tenda ilikuwa ikipewa kwa mafundi na wakandarasi kutoka nje lakini hali imekuwa to [...]
1 134 135 136 137 138 171 1360 / 1707 POSTS
error: Content is protected !!