Tag: habari za kimataifa

1 139 140 141 142 143 164 1410 / 1634 POSTS
Tanzania na Ufaransa zatia saini mikataba sita

Tanzania na Ufaransa zatia saini mikataba sita

Serikali za Tanzania na Ufaransa leo zimetia saini jumla ya mikataba sita ya makubaliano kwa nia ya kuendeleza uhusiano baina ya nchi hizo mbili. W [...]
Atengwa baada ya kuimba na Harmonize

Atengwa baada ya kuimba na Harmonize

Muimbaji wa nyimbo za injili Jane Misso ambaye hivi karibuni ametoa wimbo akiwa na msanii wa bongo fleva, Rajabu Abduli Kahali maarufu kama Harmonize [...]
Majaliwa: Hakuna mpango kuigawa Tanesco

Majaliwa: Hakuna mpango kuigawa Tanesco

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali haina mpango wa kulivunja Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa sasa kwani suala hilo linagusa usalama [...]
Hospitali ya rufaa Muhimbili yaipa heshima Tanzania kimataifa

Hospitali ya rufaa Muhimbili yaipa heshima Tanzania kimataifa

Maabara ya hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila imeingia katika orodha ya maabara zinazotoa huduma bora duniani baada ya kupata ithibati ya ubor [...]
Waziri Nape aeleza maagizo ya Rais Samia kwa Wanahabari

Waziri Nape aeleza maagizo ya Rais Samia kwa Wanahabari

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaeleza wahariri wa vyombo vya habari muelekeo wa serikali ya awamu ya sita inay [...]
Tanzania itakavyonufaika na ziara ya Rais Samia nchini Ufaransa

Tanzania itakavyonufaika na ziara ya Rais Samia nchini Ufaransa

Mkurugenzi wa Mawasiliano-Ikulu, Bi. Zuhura Yunus alitoa taarifa siku ya jana Februari 9,2022 ikisema Rais Samia akiwa nchini Ufaransa atashuhudia uti [...]
Nuh Mziwanda afunguka haya juu ya Shilole

Nuh Mziwanda afunguka haya juu ya Shilole

Mwanamuziki wa bongofleva Nuh Mziwanda, amefunguka na kueleza kuwa bado ana mpenda msanii na mfanyabiashara Zuwena maarufuku kama Shilole na kusema ku [...]
MunaLove ajuta

MunaLove ajuta

Msanii wa filamu za bongo na mjasiriamali Rose Alphonce maarufu kama Muna Love, amekiri kuwa mdhambi na kumsoea Mwenyezi Mungu kwa matendo yake baada [...]
Dar kinara visa vipya vya corona

Dar kinara visa vipya vya corona

Mganga mkuu wa Serikali, Dk. Aifello Sichalwe ametoa  taarifa kuhusu maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa UVIKO-19 na kusema kw [...]
Keisha alilia mrabaha wake bungeni

Keisha alilia mrabaha wake bungeni

Msanii na Mbunge wa Viti Maalumu Khadija Taya maarufu kama Keisha, amefunguka bungeni na kuanza kudai mirabaha na kusema na yeye anastahili kupewa kwa [...]
1 139 140 141 142 143 164 1410 / 1634 POSTS
error: Content is protected !!