Tag: juma jux

1 16 17 18 19 20 57 180 / 564 POSTS
Fahamu kuhusu mlipuko wa surua nchini

Fahamu kuhusu mlipuko wa surua nchini

Serikali ya Tanzania imetangaza kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa surua katika halmashauri saba huku watu 54 wakiwa wemethibitika kukumbwa na maradhi h [...]
Askari 300 kuwasaka Panya Road

Askari 300 kuwasaka Panya Road

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema wametoa askari 300, kwa ajili ya kuendesha opereseheni ya kuwakamata Panya Road, ambao wamekuwa wa [...]
Lita ya petroli Nairobi Sh3469.94

Lita ya petroli Nairobi Sh3469.94

Lita moja ya petroli jijini Nairobi sasa itauzwa kwa Sh3469.94 (Ksh179.30) kutoka Ksh159 katika bei mpya iliyotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Nisha [...]
Busara yatumika kupunguza faini ya Manara

Busara yatumika kupunguza faini ya Manara

Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF leo imetangaza kumpunguzia adhabu Msemaji wa Yanga Haji Manara kutoa milioni 20 ya faini aliyotaki [...]
Magazeti ya leo Septemba 14,2022

Magazeti ya leo Septemba 14,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Septemba 14,2022. [...]
Wanaojaribu kujiua wasishtakiwe

Wanaojaribu kujiua wasishtakiwe

Madaktari wanaotibu magonjwa ya afya ya akili, wameiomba serikali kupitia upya sheria inayowafunga watu wanaofanya jaribio la kujiua ili wapatiwe tiba [...]
Serikali imelipa madai ya Sh. bilioni 954.04

Serikali imelipa madai ya Sh. bilioni 954.04

Serikali imelipa jumla ya Sh bilioni 954.04 ikiwa ni madai ya VAT sawa na asilimia 431.7 ya lengo la kulipa Sh bilioni 221.01 kwa mwaka 2021/22, Naibu [...]
Zuchu amshtaki Ostaz Juma TCRA

Zuchu amshtaki Ostaz Juma TCRA

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, msanii kutoka lebo ya Wasafi ameweka wazi kwamba amemshtaki Ostaz Juma, TCRA baada ya kumdhihaki na kuongea maneno [...]
Rais Samia azidi kuwawezesha wanawake na vijana

Rais Samia azidi kuwawezesha wanawake na vijana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi kutoa msaada wa kutosha kwa wajasiriamali wanawake na vijan [...]
Uber na Bolt kurejesha huduma

Uber na Bolt kurejesha huduma

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imesema, kampuni za usafiri kwa njia ya mtandao Bolt na Uber zinatarajia kurejea kutoa huduma za usafir [...]
1 16 17 18 19 20 57 180 / 564 POSTS
error: Content is protected !!