Tag: juma jux
Matukio aliyowahi kufanya Kizz Daniel
Juni 2022: Alizua hasira nchini Zambia, nusura show yake izuiwe kufuatia dharau kwa waandishi wa habari na kumsukuma shabiki yake mmoja aliyejaribu ku [...]
Kizz Daniel atolewa Polisi na Harmonize
Hatimaye mwimbaji wa muziki kutoka Nigeria, Kizz Daniel ametolewa katika kituo cha Polisi cha Oysterbay jijini Dar es salaam alipokuwa amewekwa rumand [...]
Kampuni inatafuta watu wa kulala na kuwalipa
Kampuni ya utengenezaji magodoro inayofahamika kwa jina la Casper nchini Marekani, imetangaza nafasi za kazi ya kulala usingizi kwa watu watakao kuwa [...]
Rais Samia anavyomaliza tatizo la maji nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kuboresha huduma za afya na maji katika maeneo mba [...]
‘Long Distance’ yawashinda, waamua kuachana
Kwa mujibu wa tovuti ya ENews imeandika kwamba mahusiano ya mwanamitindo Kim Kardashian na Pete Davidson yamefika tamati baada ya kudumu kwa miezi 9
[...]
Panga Pangua ya Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameteua maafisa 22 kuwa Majaji wa Mahakama Kuu kama ifuatavyo
1. Kevin David Mhin [...]
AD Ports Group na Adani Ports na SEZ Ltd zimesaini mkataba wa makubaliano ya uwekezaji wa miundombinu nchini Tanzania
AD Ports Group, kampuni ya huduma za majini imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na Adani Ports na SEZ Ltd, kampuni kubwa kwenye uwekezaji wa kimkaka [...]
Siku ya bia duniani
Wakati ulimwengu ukiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Bia leo, wataalamu wameeleza kinywaji hicho kinapewa umuhimu kwa sababu ya kuwaunganisha watu katik [...]
Viongozi hakuna kutoka mpaka sensa imalizike
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa (Tamisemi), Innocent Bashungwa amewaagiza viongozi wa Serikali ngazi ya mkoa na wilaya [...]
Magazeti ya leo Agosti 4,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Agosti 4,2022.
[...]