Tag: nafasi za kazi

1 18 19 20 21 22 81 200 / 808 POSTS
Latra yatangaza nauli mpya za mwendokasi

Latra yatangaza nauli mpya za mwendokasi

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza nauli mpya za teksi mtandaoni, pikipiki mtandao na Mabasi yaendayo Haraka (BRT) maarufu mwen [...]
Rais Samia atengua zuio la mikutano ya hadhara

Rais Samia atengua zuio la mikutano ya hadhara

Rais Samia Suluhu Hassan ameruhusu kufanyika kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyozuiliwa kwa muda huku akiwataka wanasiasa kufanya siasa z [...]
Asimilia 99 ya lengo yakusanywa na TRA

Asimilia 99 ya lengo yakusanywa na TRA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya TZS trilioni 12.46 kati ya Julai hadi Desemba 2022, sawa na 99% ya lengo la kukusanya TZS trilioni 12.48. [...]
Mrithi wa TICTS apatikana

Mrithi wa TICTS apatikana

Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imepata mtoa huduma w amuda, Kampuni ya Adani Zone Limited (APSEZ) ya nchini India atakayefanya kazi ya kuondoa maka [...]
Salamu za mwaka mpya za Rais Samia Suluhu

Salamu za mwaka mpya za Rais Samia Suluhu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amehutubia Taifa nakutoa salam za kuaga Mwaka 2022 na kuukaribisha Mwaka mpya wa 2023 [...]
Majizzo apinga mtazamo wa Hando kuhusu mikopo ya serikali

Majizzo apinga mtazamo wa Hando kuhusu mikopo ya serikali

Mkurugenzi wa EFM na TVE, Francis Ciza "Majizzo" amepinga mtazamo wa mtangazaji wa EFM redio, Gerald Hando kuhusu namna ambavyo serikali imekua ikichu [...]
Fahamu fukwe 5 zisizo na kiingilio Dar es Salaam

Fahamu fukwe 5 zisizo na kiingilio Dar es Salaam

Najua utajuliza kuhusu gharama na mwingiliano wa watu ambao wakati mwingine unaweza kusababisha kukosekana kwa utulivu, usihofu zipo fukwe nyingi jiji [...]
Ajiua akihofia kudaiwa hela ya soda

Ajiua akihofia kudaiwa hela ya soda

Kijana  anayefahamika kwa jina la Bukindu Bukindu (22), mkazi wa kijiji cha Ihega, Kata ya Bukoli wilayani Geita amejiua kwa kunywa sumu ya panya, aki [...]
Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022

Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inashika namba 9 kwenye orodha ya nchi 10 tajiri kwa mujibu wa ripoti ya mtandao wa Zoom Afrika kwa mwaka 2022, Tanza [...]
Bilioni 2.2 za Rais Samia zakamilisha madarasa 110 Ilemela

Bilioni 2.2 za Rais Samia zakamilisha madarasa 110 Ilemela

Wanafunzi 12,548 waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela hawatakosa sehemu ya kusomea baada ya halmashauri [...]
1 18 19 20 21 22 81 200 / 808 POSTS
error: Content is protected !!