Tag: nafasi za kazi

1 18 19 20 21 22 81 200 / 804 POSTS
Salamu za mwaka mpya za Rais Samia Suluhu

Salamu za mwaka mpya za Rais Samia Suluhu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amehutubia Taifa nakutoa salam za kuaga Mwaka 2022 na kuukaribisha Mwaka mpya wa 2023 [...]
Majizzo apinga mtazamo wa Hando kuhusu mikopo ya serikali

Majizzo apinga mtazamo wa Hando kuhusu mikopo ya serikali

Mkurugenzi wa EFM na TVE, Francis Ciza "Majizzo" amepinga mtazamo wa mtangazaji wa EFM redio, Gerald Hando kuhusu namna ambavyo serikali imekua ikichu [...]
Fahamu fukwe 5 zisizo na kiingilio Dar es Salaam

Fahamu fukwe 5 zisizo na kiingilio Dar es Salaam

Najua utajuliza kuhusu gharama na mwingiliano wa watu ambao wakati mwingine unaweza kusababisha kukosekana kwa utulivu, usihofu zipo fukwe nyingi jiji [...]
Ajiua akihofia kudaiwa hela ya soda

Ajiua akihofia kudaiwa hela ya soda

Kijana  anayefahamika kwa jina la Bukindu Bukindu (22), mkazi wa kijiji cha Ihega, Kata ya Bukoli wilayani Geita amejiua kwa kunywa sumu ya panya, aki [...]
Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022

Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inashika namba 9 kwenye orodha ya nchi 10 tajiri kwa mujibu wa ripoti ya mtandao wa Zoom Afrika kwa mwaka 2022, Tanza [...]
Bilioni 2.2 za Rais Samia zakamilisha madarasa 110 Ilemela

Bilioni 2.2 za Rais Samia zakamilisha madarasa 110 Ilemela

Wanafunzi 12,548 waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela hawatakosa sehemu ya kusomea baada ya halmashauri [...]
Mahakama yatoa ruksa wafungwa kupiga kura jela

Mahakama yatoa ruksa wafungwa kupiga kura jela

Mahakama Kuu ya Tanzania imetengua Kifungu cha 11 (1) (c) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2015 kinachozuia wafungwa kup [...]
Fahamu faida za kulala ofisini

Fahamu faida za kulala ofisini

Kulala kwa angalau dakika 30 ukiwa kazini ni kitu muhimu sana kwani mwili umekua umechoka kwa kufanya kazi kwa muda mrefu hivyo unapojipumzisha na kis [...]
Ujenzi wa reli Tabora- Kigoma waiva

Ujenzi wa reli Tabora- Kigoma waiva

Kipande cha ujenzi wa reli ya kati Tabora- Kigoma kitagharimu dola za Marekani bilioni 2.7 sawa na shilingi trilioni 6.34. Reli hiyo ambayo mkataba [...]
Magazeti ya leo Desemba 18,2022

Magazeti ya leo Desemba 18,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumapili Desemba 18,2022. [...]
1 18 19 20 21 22 81 200 / 804 POSTS
error: Content is protected !!