Tag: nafasi za kazi
Pochi la Rais Samia lafunguka Idodi
Changamoto za huduma ya afya za wananchi wa Iringa zimefika kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Rais Samia Suluhu nae akusita kuboresha k [...]
Takukuru yamkalia kooni Raibu
Taasisi ya Kupigana na Kupambana na Rushwa, (Takukuru) imesema imepokea malalamiko yamhusiyo aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Moshi Mjini, Juma Raibu na [...]
Makamba: Mfumo huu si msahafu
Waziri wa Nishati, January Makamba, amesema utaratibu wa uagizaji wa pamoja wa mafuta sio msahafu,hivyo unaweza kubadilishwa wakati wowote kwa manufaa [...]
Magazeti ya leo Aprili 14,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi 14,2022.
[...]
LATRA wapinga nauli mpya
Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (Latra CCC) limekata mapendekezo ya nauli yaliyotolewa na wadau wa usafiri wa masafa maref [...]
Harmonize: Historia imeandikwa
Mmiliki wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize amewajibu wale watu wanaohoji amewezaje kufikisha watazamaji milioni ndani ya dakik [...]
Nukuu za Mwl. Nyerere zinazoishi
Aprili 13 kila mwaka ni siku ambayo watanzania wanaadhimisha kuzaliwa kwa Hayati baba wa taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kiongozi aliyefaniki [...]
Makamba ataja sababu za mfumuko wa bei za mafuta
Waziri wa Nishati, January Makamba ameeleza kiundani sababu za upandaji wa bei za mafuta baada ya kuwa na sintofahamu kutoka kwa wananchi waliokuwa wa [...]
Ukiandika barua hivi, kazi nje nje
Kati ya vitu vinavyosababisha wengi kukosa kazi ni barua mbaya ya utangulizi na wengine huandika hadi waraka wa Petro kwa mwajiri wakidhani kuwa ndio [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Aprili 12,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Aprili 12,2022. Husikubali kupitwa
https://www.youtube.com/watch?v=IokCG2 [...]