Tag: nafasi za kazi
Alawiti na kubaka kisa chumvi
Jeshi la polisi mkoani Geita linamtafuta mkazi wa kijiji cha Bukori (jina limehifadhiwa), kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti watoto watatu wa darasa [...]
Marioo kuja na Davido
Msanii wa bongo fleva Marioo anayetamba na ngoma yake ya Mi Amore ametangaza kuachia remix ya wimbo huo pendwa akiwa amemshirikisha nyota kutoka nchi [...]
Kubenea apigwa spana kesi ya Makonda
Maombi ya mwanahabari Saed Kubenea ya kumfungulia mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda k [...]
Usipake vitu hivi usoni
Kwenye karne hii ambayo teknolojia imekua na watumiaji pia wamekua wengi, watu hupenda kujifunza vitu mbalimbali kupitia mitandao hasa Youtube ambapo [...]
Uchunguzi na matibabu ya TB ni bure
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali imefuta gharama za uchunguzi kwa wagonjwa wote wenye dalili za kifua kikuu waweze kupata huduma hiyo kwa [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 24,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 24, 2022. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch?v=njxSV [...]
Daraja la Tanzanite kubadilishwa
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua daraja la jipya la Selander maarufu kama Tanzanite la jijini Dar es Salaam huku akipendekeza alama ya mwenge iliyow [...]
Wezi wamuibia Pogba
Wezi wamemuibia kiungo wa Manchester United, Paul Pogba medali yake ya ushindi wa Kombe la Dunia baada ya kuvunja na kuingia nyumbani kwake na kuiba w [...]
Ghorofa la Samia larejesha wanafunzi shuleni
Shule ya Sekondari Ihanga jijini Mbeya ni kati za shule zilipewa fedha na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na kujengwa kwa mfumo wa ghorofa kutokana na e [...]
Faida za kibiashara kati ya Tanzania na Qatar
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani ambapo wamekuba [...]