Tag: nafasi za kazi

1 63 64 65 66 67 80 650 / 800 POSTS
Alawiti na kubaka kisa chumvi

Alawiti na kubaka kisa chumvi

Jeshi la polisi mkoani Geita linamtafuta mkazi wa kijiji cha Bukori (jina limehifadhiwa), kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti watoto watatu wa darasa [...]
Marioo kuja na Davido

Marioo kuja na Davido

Msanii wa bongo fleva Marioo anayetamba na ngoma yake ya Mi Amore ametangaza kuachia remix ya wimbo huo pendwa akiwa amemshirikisha nyota kutoka nchi [...]
Kubenea apigwa spana kesi ya Makonda

Kubenea apigwa spana kesi ya Makonda

Maombi ya mwanahabari Saed Kubenea ya kumfungulia mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda k [...]
Usipake vitu hivi usoni

Usipake vitu hivi usoni

Kwenye karne hii ambayo teknolojia imekua na watumiaji pia wamekua wengi, watu hupenda kujifunza vitu mbalimbali kupitia mitandao hasa Youtube ambapo [...]
Uchunguzi na matibabu ya TB ni bure

Uchunguzi na matibabu ya TB ni bure

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali imefuta gharama za uchunguzi kwa wagonjwa wote wenye dalili za kifua kikuu waweze kupata huduma hiyo kwa [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 24,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 24,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 24, 2022. Husikubali kupitwa. https://www.youtube.com/watch?v=njxSV [...]
Daraja la Tanzanite kubadilishwa

Daraja la Tanzanite kubadilishwa

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua daraja la jipya la Selander maarufu kama Tanzanite la jijini Dar es Salaam huku akipendekeza alama ya mwenge iliyow [...]
Wezi wamuibia Pogba

Wezi wamuibia Pogba

Wezi wamemuibia kiungo wa Manchester United, Paul Pogba medali yake ya ushindi wa Kombe la Dunia baada ya kuvunja na kuingia nyumbani kwake na kuiba w [...]
Ghorofa la Samia larejesha wanafunzi shuleni

Ghorofa la Samia larejesha wanafunzi shuleni

Shule ya Sekondari Ihanga jijini Mbeya ni kati za shule zilipewa fedha na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na kujengwa kwa mfumo wa ghorofa kutokana na e [...]
Faida za kibiashara kati ya Tanzania na Qatar

Faida za kibiashara kati ya Tanzania na Qatar

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani ambapo wamekuba [...]
1 63 64 65 66 67 80 650 / 800 POSTS
error: Content is protected !!