Tag: nafasi za kazi

1 66 67 68 69 70 80 680 / 800 POSTS
Obama akutwa na Covid-19

Obama akutwa na Covid-19

Rais mstaafu wa Marekani, Barack Obama amethibitisha kukutwa na Covid-19 taarifa aliyochapisha kwenye ukurasa wa twitter na kusema anawakumbusha watu [...]
Tanzania kwenye ligi kuu ya Hispania

Tanzania kwenye ligi kuu ya Hispania

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa vilabu vya Atletico Madrid na Getafe vinavyoshiriki Ligi Kuu ya H [...]
Madadapoa wamaliza mavuno Shinyanga

Madadapoa wamaliza mavuno Shinyanga

Wanawake katika vijiji wilayani Shinyanga, wa,elalamika kitendo cha madadapoa maarufu 'machangudoa' kutoka mjini kwenda huko kipindi cha mavuno, kufan [...]
GSM amkalia kooni Makonda

GSM amkalia kooni Makonda

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anadaiwa kutaka kupora nyumba ya mfanyabiashara Gharib Said Mohamed wa kampuni ya GSM. Nyumba [...]
Bajaji Mbeya: Asante Rais Samia

Bajaji Mbeya: Asante Rais Samia

Vijana waendesha bajaji kutoka Halmashauri ya Mbeya kata ya Mbalizi wametoa pongezi na shukurani  kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Sa [...]
Ngorongoro: Tembo aua mmoja

Ngorongoro: Tembo aua mmoja

Mtu mmoja aliyefahamika kwa majina ya Narudwasha Titika (45), mkazi wa kijiji cha Alaitore kilichopo ndani ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro amefari [...]
Aliyepandikizwa moyo wa nguruwe afariki

Aliyepandikizwa moyo wa nguruwe afariki

David Bennett binadamu wa kwanza kufanyiwa upasuaji wa upandikizwaji wa moyo wa nguruwe amefariki dunia Machi 8 mwaka huu, David amefariki akiwa na um [...]
Maagizo ya Makalla kwa Taasisi hizi

Maagizo ya Makalla kwa Taasisi hizi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amezielekeza Taasisi za TANROAD, TARURA, DAWASA NA TANESCO kuhakikisha wanaboresha utoaji wa huduma il [...]
Rais Samia na fursa za uchumi

Rais Samia na fursa za uchumi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali inajipanga kukabiliana na changamoto za kiuchumi zinazosababishwa na jang [...]
Pasha afariki vitani

Pasha afariki vitani

Muigizaji maarufu kutoka nchini Ukraine, Pasha li (33) amefariki akiwa vitani baada ya kushambuliwa na wanajeshi wa jeshi la Urusi katika mji wa Irpin [...]
1 66 67 68 69 70 80 680 / 800 POSTS
error: Content is protected !!