Tag: trending videos

1 12 13 14 15 16 123 140 / 1230 POSTS
Rais Samia atoa kibali cha ajira kwa watumishi 21,200

Rais Samia atoa kibali cha ajira kwa watumishi 21,200

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya. Idad [...]
Rais Samia apongezwa na Rais Mwinyi

Rais Samia apongezwa na Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi amempongeza na kumshukuru Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan kwa kuu [...]
Wilaya 64 kujengwa vyuo vya ufundi stadi

Wilaya 64 kujengwa vyuo vya ufundi stadi

Serikali imesema imetenga Sh bilioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa vyuo vya ufundi stadi, katika wilaya 64 ambazo zilikuwa hazijajengewa vyuo hivyo. A [...]
Rais Samia aridhia Balozi Mulamula kugombea Ukatibu Mkuu

Rais Samia aridhia Balozi Mulamula kugombea Ukatibu Mkuu

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Balozi Liberata Mulamula kugombea nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola akiamini kuwa kutokana na uzoefu wake [...]
Ziara ya Rais Samia Qatar yazidi kuvuta wawekezaji

Ziara ya Rais Samia Qatar yazidi kuvuta wawekezaji

Tangu ashike kijiti cha kuiongoza Tanzania, Rais Samia Suluhu amekuwa akienda kwenye ziara mbalimbali nje ya nchi jambo lililo ibua mitazamo tofauti h [...]
Marekani yampongeza Rais Samia kwa uongozi bora

Marekani yampongeza Rais Samia kwa uongozi bora

Huenda hatua ya kuboresha mifumo ya demokrasia nchini Tanzania iikaendelea kutoa matokeo chanya kutoka jumuiya za kimataifa mara baada ya Serikali ya [...]
Nondo 5 za Kamala kwa Tanzania

Nondo 5 za Kamala kwa Tanzania

Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amesema nchi yake itaendelea kufanya kazi pamoja na Tanzania ili kuimarisha uchumi wa nchi na pamoja kuimari [...]
Fahamu madudu matano ya CAG yaliyomkwaza Rais Samia

Fahamu madudu matano ya CAG yaliyomkwaza Rais Samia

 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema mageuzi ya kimfumo pamoja na usimamizi thabiti wa sheria ndio vitu vitakavyosaidia kupambana na ubadhiri [...]
Maana ya ujio wa Kamala nchini

Maana ya ujio wa Kamala nchini

Kwa mara ya kwanza, Kamala Harris, Makamu wa Rais wa Marekani atakanyaga ardhi ya Tanzania kesho Machi 29. Safari yake ina umuhimu mkubwa kwa Tanza [...]
Vyombo vya habari 1,123 nchini vimesajiliwa

Vyombo vya habari 1,123 nchini vimesajiliwa

Kwa Mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye leo katika kikao kazi cha Maafisa Habari, Mawa [...]
1 12 13 14 15 16 123 140 / 1230 POSTS
error: Content is protected !!