Tag: trending videos
Waziri Ummy: Hakuna wagonjwa wapya wa Marburg
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia jana tarehe 25 Machi, 2023 hakuna wagonjwa wapya wa Marburg walioripotiwa licha ya kupokea tetesi se [...]
Rais Samia chanzo cha ongezeko la uwekezaji nchini
Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetoa taarifa kuhusu mwenendo wa hali ya uwekezaji nchini katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais wa a [...]
Rais Samia na Waziri Majaliwa wanunua tiketi 4000 mechi ya Taifa Stars
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wametoa tiketi 4,000, kwa ajili ya mashabiki kuingia [...]
Aweso amuwakilisha Rais Samia Mkutano wa UN
Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso anamwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Umo [...]
Rais Samia ahimiza vijana kujiunga na kilimo
Huenda sekta ya kilimo Tanzania ikachukua sura mpya kwa kuongeza wigo wa ajira pamoja na mchango katika pato la Taifa mara baada ya Serikali kufanya u [...]
Tanzania yapeleka helikopta mbili za msaada Malawi
Serikali ya Tanzania imetuma helikopta mbili nchini Malawi zenye msaada wa vifaa, chakula pamoja na fedha Dola milioni moja (Sh. bil. 2.3) taslimu kwa [...]
Miwili bila JPM, Kazi inaendelea
Leo ni kumbukizi ya miaka miwili tangu afariki dunia Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli.
Dk. Magufuli aliaga dunia Machi 17 [...]
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa Afrika wa chakula na kilimo
Huenda Afrika likaanza kujitosheleza kwa chakula siku zijazo baada ya wadau wa maendeleo na wataalam wa sekta ya kilimo kukutana Tanzania ili kujadili [...]
Rais Samia afikisha Daraja la JPM 74%
Miaka miwili ya Rais Samia Suluhu Hassan, daraja la JP Magufuli limefikia asilimia 74 ya ujenzi wake, ambapo mpaka sasa Sh bilioni 368.671 zimetolewa [...]
Zaidi ya Sh. Bilioni 100 kuboresha vyuo vya ufundi stadi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inawekeza zaidi ya Sh bilioni 100 kwa ajili ya kuboresha elimu kwenye vyuo vya ufundi na stadi mbal [...]