Author: Cynthia Chacha

1 129 130 131 132 133 256 1310 / 2559 POSTS
Maswali utakayoulizwa siku ya Sensa

Maswali utakayoulizwa siku ya Sensa

Ifuatayo ni orodha ya maswali 100 ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022. [...]
Sensa kutoa majibu vifo vya wajawazito

Sensa kutoa majibu vifo vya wajawazito

Waziri wa afya Ummy Mwalimu amesema kuwa sensa ya mwaka huu inakwenda kutoa majibu ya ukubwa wa tatizo la vifo vya wajawazito na watoto wa changa. [...]
Odinga awasilisha pingamizi kieletroniki

Odinga awasilisha pingamizi kieletroniki

Timu ya wanasheria wa mgombea urais wa Azimio Raila Odinga tayari imewasilisha nakala ya kielektroniki ya ombi la kupinga ushindi wa Rais Mteule Willi [...]
Mtoto wa Simbachawene asota mahabusu

Mtoto wa Simbachawene asota mahabusu

Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, amesema bado wanamshikilia mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simb [...]
Magazeti ya leo Agosti 22,2022

Magazeti ya leo Agosti 22,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Agosti 22,2022. [...]
Mrema afariki dunia

Mrema afariki dunia

Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Agustino Lyatonga Mrema (77) amefariki dunia leo Jumapili, Agosti 21,2022 saa 12:15 asubuhi, katika Hospitali ya Taifa ya [...]
TRC yaomba nauli iongezeke kwa 15%

TRC yaomba nauli iongezeke kwa 15%

Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA-CCC), limesema limepokea maombi ya ongezeko la nauli za treni kwa asilimia 15 kwa k [...]
Shabiki wa Yanga SC afariki

Shabiki wa Yanga SC afariki

Uongozi wa Klabu ya Yanga na Kamati ya Utendaji chini ya Rais Eng.Hersi Said umesema umepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali ya Mashabiki wa Yanga wa [...]
Magazeti ya leo Agosti 20,2022

Magazeti ya leo Agosti 20,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Agosti 20,2022. [...]
Khaby wa Tiktok apewa rasmi uraia wa Italia

Khaby wa Tiktok apewa rasmi uraia wa Italia

Mchekeshaji Khaby Lame, anayeongoza kwa kufuatiliwa zaidi kwenye mtandao wa TikTok duniani, amepewa uraia wa Italia katika hafla iliyofanyika katika m [...]
1 129 130 131 132 133 256 1310 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!