Author: Cynthia Chacha

1 141 142 143 144 145 256 1430 / 2559 POSTS
Ushauri wa Kinana kuhusu trafiki waanza kufanyiwa kazi

Ushauri wa Kinana kuhusu trafiki waanza kufanyiwa kazi

Jeshi la Polisi Tanzania limesema kwamba tayari umeanza kufanyia kazi ushauri uliotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapunduzi (CCM) Tanzania Ba [...]
Majaliwa : Serikali ipo pamoja na nyie

Majaliwa : Serikali ipo pamoja na nyie

Serikali imesema nyongeza ya mishahara 23% iliyotangazwa mwaka huu 2022, inawalenga watumishi kati asilimia 75 hadi 78 wanaopokea mishahara midogo, na [...]
Serikali yatoa ufafanuzi nyongeza ya mishahara

Serikali yatoa ufafanuzi nyongeza ya mishahara

Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara ya wafanyakazi Leo [...]
Masanja akutwa na hatia ya kuzini na mwanawe

Masanja akutwa na hatia ya kuzini na mwanawe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Masanja Shija (58) baada ya kumkuta na hatia ya kufanya m [...]
Tanzania kusambaza umeme Afrika

Tanzania kusambaza umeme Afrika

Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya kilovoti 400 kutoka Iringa, Tanzania hadi Zambia (TAZA) utaanza kutekelezwa Januari mwakani na utakami [...]
Rais Samia apongezwa na CHADEMA

Rais Samia apongezwa na CHADEMA

Kada mwandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Morogoro, Acqulline Magalambura amesifu uteuzi wa wakuu wa mikoa uliofanywa na [...]
Magazeti ya leo Julai 29,2022

Magazeti ya leo Julai 29,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Julai 29,2022. [...]
Harmonize na Kajala wafikishwa kileleni na mashabaki

Harmonize na Kajala wafikishwa kileleni na mashabaki

Hii ni ishara kwamba mashabiki wa Harmonize wanakubali sana kazi zake na ndio maana kwa hiari yao wakaamua kupanda na picha ya msanii huyo akiwa na mp [...]
Makongoro: Nimenusurika

Makongoro: Nimenusurika

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amshukuru Rais Samia Suluhu Hassan wa kuendelea kuhudumu katika mkoa huo. Makongoro ameyasema hayo leo hi [...]
SUMA JKT waendelea na ujenzi wa nyumba 400 Msomera

SUMA JKT waendelea na ujenzi wa nyumba 400 Msomera

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amekagua ujenzi wa nyumba mpya 400 katika kijiji cha Msomera Wilayani Handeni, Mkoani Tang [...]
1 141 142 143 144 145 256 1430 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!