Author: Cynthia Chacha

1 148 149 150 151 152 256 1500 / 2559 POSTS
Kagongwa kupata umeme

Kagongwa kupata umeme

Waziri wa Nishati, January Makamba amemuagiza Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Grace Ntungi kuhakikisha ndani ya wiki mbili kuanzia jana J [...]
Kuandika wosia sio uchuro

Kuandika wosia sio uchuro

Wizara ya Katiba na Sheria imeiagiza Wakala wa Usajili, Ufilisia na Udhamini (RITA) kukusanya maoni kwa wananchi ya nini kinachosababisha wananchi kuw [...]
Mzee: hakuna haja kuandikwa katiba mpya

Mzee: hakuna haja kuandikwa katiba mpya

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Abdulhamid Yahya Mzee amesema hakuna haja ya kuandikwa katiba [...]
Fahamu kuhusu Homa ya Mgunda

Fahamu kuhusu Homa ya Mgunda

Baada ya Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kutoa taarifa kuhusu ugonjwa wa Homa ya Mgunda (Leptospirosis), wizara hiyo imetoa tahadhari kwa wananchi na nji [...]
Magazeti ya leo Julai 19,2022

Magazeti ya leo Julai 19,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Julai 19,2022. [...]
Fahamu jinsi Homa ya Mgunda inavyoambukizwa

Fahamu jinsi Homa ya Mgunda inavyoambukizwa

Ugonjwa wa Homa ya Mgunda (Leptospirosis) huambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu kupitia uchafuzi wa mazingira ikiwemo vyanzo vya maji kut [...]
Aua kwa panga kisa wivu wa mapenzi

Aua kwa panga kisa wivu wa mapenzi

Mkazi wa Kijiji cha Mgombani, SWilaya ya Monduli mkoani Arusha, Juma Ndaji (27), anashikiliwa na polisi wilayani humo kwa kosa la kumkata panga mfanya [...]
Ugonjwa usiojulikana Lindi unasababishwa na bweha

Ugonjwa usiojulikana Lindi unasababishwa na bweha

Wizara ya Afya kupitia kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imetanga uwepo wa mlipuko mpya wa ugonjwa wa Homa ya Mgunda unaosababisha wananchi kutoka damu [...]
Mradi wa umeme Rusumo wafika asilimia 95

Mradi wa umeme Rusumo wafika asilimia 95

Imeelezwa kuwa, kukamilika kwa mradi wa umeme wa Rusumo wa megawati 80 kutaimarisha hali ya upatikanaji umeme katika mikoa ya Kanda ya Ziwa ambapo kum [...]
Waziri Makamba aeleza sababu ya kugawa mitungi ya gesi

Waziri Makamba aeleza sababu ya kugawa mitungi ya gesi

Waizri wa Nishati, January Makamba amesema wizara hiyo imegawa bure mitungi ya gesi kwa kaya masikini na mamalishe katika mikoa mbalimbali nchini, ili [...]
1 148 149 150 151 152 256 1500 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!