Author: Cynthia Chacha
Bajeti ya serikali 2022/23 imepita kwa 94%
Bajeti ya Serikali ya 2022/23 imepita kwa asilimia 94 baada ya kupigiwa kura za ndio 350. Idadi ya wabunge ilikua 380 na 379 walipiga kura.
NDIO- [...]
Kikokotoo cha zamani hakirudishwi
Serikali imesema haitarudisha kikokotoo cha zamani cha mafao ya wastaafu cha asilimia 50, kwa kuwa hakileti usawa katika ugawaji wa fedha wanazopata w [...]
Mwigulu aeleza umuhimu wa madeni nchini
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Nchemba amefafanua umuhimu wa mikopo katika nchi na kusema kila taifa lenye maendeleo lazima liwe na deni na [...]
Mabeyo asema nchi ipo salama na Rais Samia
Baada ya kulitumika jeshi kwa takribani miaka 43, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF) Jenerali Venance Mabeyo, amefunguka mambo kadha wa kadha ku [...]
Magazeti ya leo Juni 24,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Juni 24,2022.
[...]
Zoezi la uwekaji mipaka Loliondo lakamilika
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo ametangaza kukamilika kwa zoezi la uwekaji wa alama za mipaka katika Pori Tengefu la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arush [...]
Majaliwa: Isikilizeni serikali yenu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia wakazi wanaohama kwa hiari yao kutoka katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro kuelekea kijiji cha Msomera, Ha [...]
Tanzania kushiriki Kombe la Dunia
Ujumbe wa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara hiyo Bw. Saidi Yakubu wamekutana na kuf [...]
Bandari ya Mtwara yapeleka tani 15,800 za korosho Vietnam
Siku ya jana Juni 22, 2022 imekuwa ya neema kwa wakazi wa Mtwara na maeneo ya jirani kwa sababu Meli Iliyobeba Korosho Tani elf 15,800 imeondoka Katik [...]
Dhamira ya Rais Samia juu ya makao makuu ya nchi Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema Rais Samia Suluhu Hassan hana makusudi ya kurejesha Makao Mak [...]