Author: Cynthia Chacha

1 198 199 200 201 202 263 2000 / 2621 POSTS
Hali ya Corona nchini

Hali ya Corona nchini

Wizara ya Afya inaendelea kutoa taarifa kwa umma kuhusu hali ya ugonjwa wa UVIKO-19 nchini. Itakumbukwa kuwa ugonjwa huu ulitolewa taarifa kwa mara ya [...]
Diamond: Najiuliza kuna baya lolote

Diamond: Najiuliza kuna baya lolote

Baada ya Zuchu kujibu barua ya TCRA na BASATA kuhusu kufungiwa kwa video ya 'Mtasubiri', Diamond Platnumz naye amefunguka na kueleza kwamba haoni kosa [...]
Zuchu awajibu BASATA

Zuchu awajibu BASATA

Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram, Msanii kutoka lebo ya Wasafi, Zuchu amewajibu BASATA kuhusu video ya wimbo wake pamoja na Diamond kufungia k [...]
WAKAZI: Wakristo tuache unafki

WAKAZI: Wakristo tuache unafki

Msanii wa Hip Hop kutoka nchini Tanzania, Wakazi ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha TCRA kuifungia video ya wimbo wa 'Mtasubiri" ya Diamond na Zuc [...]
Kushuka kwa bei za vyakula

Kushuka kwa bei za vyakula

Huenda maumivu ya kupanda kwa bidhaa Tanzania yakapungua siku za hivi karibuni baada ya wataalam wa uchumi kueleza kuwa bei za vyakula duniani zilishu [...]
Nauli mpya kutumika rasmi

Nauli mpya kutumika rasmi

Mkurugenzi wa Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini(LATRA) Johansen Kahatano amesema kulingana na hali halisi ya upandaji wa bei za mafuta, bei mpya za nauli [...]
Magazeti ya leo Mei 7,2022

Magazeti ya leo Mei 7,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Mei 7,2022. [...]
Ashtakiwa kwa wizi wa mbegu za kiume

Ashtakiwa kwa wizi wa mbegu za kiume

Mahakama moja magharibi mwa Ujerumani ilimpata mwanamke mmoja na hatia ya unyanyasaji wa kijinsia na kumpa kifungo cha nje cha miezi sita kwa kuharibu [...]
TCRA waifungia video ya ‘Mtasubiri”

TCRA waifungia video ya ‘Mtasubiri”

Mamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeufungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz na Zuchu ya "Mtasubiri sana' baada ya kupata taarifa kutoka Ba [...]
Msemaji mpya wa Ikulu

Msemaji mpya wa Ikulu

Karine Jean-Pierre atakuwa katibu wa habari ajaye wa Ikulu ya White House, utawala wa Biden umetangaza, huku Jen Psaki akijiuzulu kutoka wadhifa huo w [...]
1 198 199 200 201 202 263 2000 / 2621 POSTS
error: Content is protected !!