Author: Cynthia Chacha

1 209 210 211 212 213 244 2110 / 2431 POSTS
Diamond amuwaza Kiba

Diamond amuwaza Kiba

Hatimaye msanii Diamond ameachia EP yake usiku wa jana ikiwa na takribani nyimbo 10 alizoshirikisha wasanii mbalimbali wa ndani na nje ya nchi kama Mb [...]
GSM amkalia kooni Makonda

GSM amkalia kooni Makonda

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anadaiwa kutaka kupora nyumba ya mfanyabiashara Gharib Said Mohamed wa kampuni ya GSM. Nyumba [...]
Bajaji Mbeya: Asante Rais Samia

Bajaji Mbeya: Asante Rais Samia

Vijana waendesha bajaji kutoka Halmashauri ya Mbeya kata ya Mbalizi wametoa pongezi na shukurani  kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Sa [...]
Ngorongoro: Tembo aua mmoja

Ngorongoro: Tembo aua mmoja

Mtu mmoja aliyefahamika kwa majina ya Narudwasha Titika (45), mkazi wa kijiji cha Alaitore kilichopo ndani ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro amefari [...]
NECTA kuja na mfumo mpya wa usahihishaji

NECTA kuja na mfumo mpya wa usahihishaji

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema mfumo mpya wa usahihishaji mitihani utaokoa shilingi milioni 550 zinazotengwa kwa [...]
Muhimbili: Hatuhusiki

Muhimbili: Hatuhusiki

Hospitali ya Taifa Muhimbili imetoa taarifa ya kukataa kuhusika na usambazaji wa video inayomuonyesha Mwanamuziki Profesa Jay akiwa katika chumba cha [...]
Aliyepandikizwa moyo wa nguruwe afariki

Aliyepandikizwa moyo wa nguruwe afariki

David Bennett binadamu wa kwanza kufanyiwa upasuaji wa upandikizwaji wa moyo wa nguruwe amefariki dunia Machi 8 mwaka huu, David amefariki akiwa na um [...]
Konyagi yaja na chupa ya mwanamke

Konyagi yaja na chupa ya mwanamke

Katika kusherekea Siku ya Wanawake Duniani, Kampuni ya Tanznaia Distilleries Limited, kupitia kinywaji chake cha Konyagi imezindua chpa maalumu ikilen [...]
Tahadhari homa ya manjano

Tahadhari homa ya manjano

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Watanzania wanapaswa kuchukua tahadhari ya mlipuko wa ugonjwa wa homa ya manjao uliopo nchini Kenya na kuahidi ku [...]
Mambo 4 ya kufanya baada ya tendo la ndoa

Mambo 4 ya kufanya baada ya tendo la ndoa

Unafahamu kwamba kuna mambo unatakiwa kufanya mara baada ya kumaliza kushiriki tendo la ndoa? Ni muhimu kufanya hivyo hili kukuwezesha kubaki na afya [...]
1 209 210 211 212 213 244 2110 / 2431 POSTS
error: Content is protected !!