Author: Cynthia Chacha
Pasha afariki vitani
Muigizaji maarufu kutoka nchini Ukraine, Pasha li (33) amefariki akiwa vitani baada ya kushambuliwa na wanajeshi wa jeshi la Urusi katika mji wa Irpin [...]
Ukraine na Urusi zaungana
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula amesema kuwa hatua za awali zakuhakikisha wanafunzi wakitanzania wa [...]
Samia atimiza ahadi yake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inafanya jitihada ya kuweka mazingira rafiki ya kufundishia na kujif [...]

Diamond aachia #FOA
Msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi, Diamond Platnumz ametoa kirefu cha jina la EP yake 'FOA' kwamba ni 'First Of All' kupitia ukurasa wake wa instagr [...]
Wanaume Geita walilia wake zao
Wanaume mkoani Geita wanaodai kutendewa vitendo vya ukatili na wake zao ikiwamo kupigwa na kunyimwa unyumba wamejitokeza kwa wingi katika dawati la ji [...]
URUSI: BEBA BENDERA YA TZ
Wanafunzi waliokuwa wamekwama katika mji wa Sumy-Ukraine kuanza kuondolewa kwa kupitia mpaka wa Urusi huku wakiambiwa wabebe mabegi na bendera za Tanz [...]
Vijana 853 waliofukuzwa waruhusiwa kurudi kwenye Makambi ya JKT
Vijana 854 kati ya 24000 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliofukuzwa na kusimamishwa mafunzo mwaka 2021 kwa kosa la vitendo vya uhasi wamesamehewa na [...]
Reli ya kisasa kuanza kutumika rasmi Aprili
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amewataka viongozi wa Shirika la Reli nchini (TRC) kuhakikisha ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), ki [...]
Miriam Odemba aziwaza tuzo za BASATA
Mwanamitindo maarufu nchini, Miriam Odemba amejiunga rasmi na tasnia ya muziki ambapo katika siku ya kusherekea kumbukizi yake ya kuzaliwa akitimiza m [...]
Urusi na Tanzania mambo safi
Urusi yaridhia kusaidia kuondoa wanafunzi wa Kitanzania waliokuwa wamekwama katika mji wa Sumy Nchini Ukraine kuondoka nchini humo kupitia mpaka wa Uk [...]