Author: Cynthia Chacha
Pepsi na Coca Cola zaadimika mtaani
Baadhi ya wafanyabiashara jiji Dar es Salaam wamesema kwamba soda zinazotengenezwa na kampuni za Pepsi na Coca Cola zimeadimika kwa muda sasa tangu D [...]
Mwenyekiti CCM Shinyanga ataka bango la Ndugai ling’olewe
Mwenyekiti wa CCM Shinyanga, Khamis Mgeja amesema kwamba kitendo kilichofanywa na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Job Nd [...]
Mbaroni kwa kutaka kuuza ardhi ya Rais wa Kenya
Watu wanne wamewekwa kizuizini na mahakama ya Nairobi kwa shutuma za kupanga njama za kuuza ardhi ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta huko Karen nchini h [...]
NIDA yawasihi wananchi kufuata vitambulisho vyao
Mamalaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), imewataka wale wote ambao bado hawajachukua vitambulisho vyao kwenda kwenye ofisi husika na kuchukua kwani [...]
KFC Kenya kuanza kuuza ugali baada ya kuishiwa viazi vya ‘chipsi’
Mwanzoni mwa mwaka 2022 KFC Kenya ilipata changamoto ya kuishiwa kwa viazi wanavyotumia kuandaa ‘chipsi’ na kufanya wengi kujiuliza kwanini wanashindw [...]
Ajinyonga kwa kamba za viatu
Mwanaume mmoja mkazi wa Mtaa wa Rungwa kata ya Kazima Manispaa ya Mpanda, Edmond Sungura (53) amekutwa amejinyonga hadi kufa chumbani kwake kwa kutumi [...]
Temeke wakamilisha ‘madarasa ya Rais Samia’
Bilioni 3.14 zilizotolewa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan zimewezesha kukamilika kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa ya sekondari 157 katika wil [...]
Majaliwa avunja ukimya kuelekea uchaguzi 2025
Waziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa hana mpango wa kugombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2025 kama ambavyo [...]
Diamond Platnumz, Director Kenny wapeperusha bendera ya Tanzania AEAUSA
Msanii Diamond Platnumz kutoka lebo ya Wasafi anayetamba na wimbo wa 'Unachezaje' ameshinda tuzo ya msanii bora wa mwaka Barani Afrika kwenye tuzo za [...]
Magazeti leo Desemba 25, 2021
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania Jumamosi Desemba 25, 2021. [...]