Author: Cynthia Chacha
Zingatia haya kabla ya ndoa
Linapokuja suala la ndoa wengi hufikira kuhusu mwisho mzuri, Wanafikiria siku ambayo hatimaye watasema "Ninafanya" na kuishi kwa furaha milele. Lakini [...]
Maafisa 7 mbaroni mauaji ya mfanyabiashara Mtwara
Maafisa saba wa polisi wamefunguliwa mashtaka ya kifo cha Mussa Hamisi Hamisi, mfanyabiashara mwenye umri wa miaka ishirini na mitano aliyepigwa hadi [...]
JICA yatoa vifaa vitakavyoisaidia TRA katika ukusanyaji wa mapato
SHIRIKA la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) limekabidhi vifaa vya ukaguzi na udhibiti wa bodi kusaidia mpango wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA [...]
Magazeti ya leo Januari 26,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania Jumatano Januari 26, 2022.
[...]
Maeneo 7 ambayo yalichunguzwa kubaini chanzo cha moto Soko la Karume
Tume ya uchunguzi wa ajali ya moto uliotokea na kuteketeza Soko la Mchikichini maarufu Soko la Karume, Dar es Salaam jana iliwasilisha taarifa yake kw [...]
Magazeti ya leo Januari 25,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania Jumanne Januari 25,2022. [...]
Magazeti ya leo Januari 24,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania Jumatatu Januari 24,2022.
[...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youube Januari 22,2022
Hizi hapa video zinazopeta kwenye mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumamosi Januari 22, 2022. Husikubali kupitwa
https://www.youtube.com/watch?v=pXj [...]
Afariki nyumba ya wageni baada ya kuzidisha vidonge vya kuongeza nguvu za kiume
Polisi nchini Kenya Kaunti ya Homa Bay wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwanaume mwenye umri wa miaka 55 aliyekutwa amefariki kwenye nyumba ya ku [...]
Nuh Mziwanda afuta tattoo ya Shilole
Aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki na mjasiriamali Zena Yusuf Mohammed maarufu kama Shilole, msanii Nuh Mziwanda hatimaye amefuta tattoo aliyokuwa a [...]