Author: Cynthia Chacha
Rais Samia akaribisha wawekezaji zaidi nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasihi wawekezaji kuja na kuwekeza nchini kwakuwa serikali imeendelea kuweka mazingira [...]
Nandy, Zuchu wadharauliwa Nigeria
Wasanii wa kike wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva Zuhura Othman maarufu kama “Zuchu” na Faustina Charles Mfinanga maarufu kama “Nandy”, w [...]
Eric Omondi awaomba mashabiki kutohudhuria tamasha la Ali Kiba na Harmonize Kenya
Zikiwa zimebaki siku chache kufanyika kwa tamasha la Afro Vasha nchini Kenya, huku wasanii kutoka Tanzania Alikiba na Harmonize wakiwa kwenye orodha y [...]
Wabunge wa Umoja wa Ulaya waridhishwa na mwelekeo wa kiuchumi na kisiasa nchini Tanzania
Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Umoja wa Ulaya wameelezea kuridhishwa kwao na mwelekeo wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan tangu kuingia kwake madara [...]
Mama aua watoto wake kisa ugumu wa maisha
Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia huku wengine watatu wakinusurika kifo baada ya kunyweshwa sumu na mama yao mzazi, Veronica Gabriel mkaz [...]
Magazeti ya leo Desemba 3, 2021
Habari Za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za Magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Desemba 3, 2021. [...]
Tazama hapa video zinazo-trend leo Youtube Desemba 2, 2021
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo. Husikubari kupitwa;
https://www.youtube.com/watch?v=3GHmlVDSRPA&list [...]

Tanzania kutoshiriki Miss World 2021
Mwakilishi wa Tanzania Juliana Rugamisa hatoweza kwenda kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya urembo wa dunia mwaka 2021 sababu z [...]
Ngono inavyoweza kuimarisha afya ya akili
Tatizo la afya ya akili limekua likiongezeka kwa kasi hususani kwa vijana, Watu wachache hugundua kuwa wana matatizo ya afya ya akili lakini kwa sehem [...]
Faida za kiafya za kulala uchi
Ikiwa bado hujawahi lala uchi, inaweza kuwa wakati wa kujaribu sasa. Makala hii itaeleza jinsi kulala uchi kunavyoweza kukusaidia kupata pumziko bora, [...]