Author: Cynthia Chacha

1 49 50 51 52 53 244 510 / 2434 POSTS
Nondo 5 za Kamala kwa Tanzania

Nondo 5 za Kamala kwa Tanzania

Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amesema nchi yake itaendelea kufanya kazi pamoja na Tanzania ili kuimarisha uchumi wa nchi na pamoja kuimari [...]
Fahamu madudu matano ya CAG yaliyomkwaza Rais Samia

Fahamu madudu matano ya CAG yaliyomkwaza Rais Samia

 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema mageuzi ya kimfumo pamoja na usimamizi thabiti wa sheria ndio vitu vitakavyosaidia kupambana na ubadhiri [...]
Magazeti ya leo Machi 29,2023

Magazeti ya leo Machi 29,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Machi 29,2023. [...]
Maana ya ujio wa Kamala nchini

Maana ya ujio wa Kamala nchini

Kwa mara ya kwanza, Kamala Harris, Makamu wa Rais wa Marekani atakanyaga ardhi ya Tanzania kesho Machi 29. Safari yake ina umuhimu mkubwa kwa Tanza [...]
Magazeti ya leo Machi 28,2023

Magazeti ya leo Machi 28,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Machi 28,2023. [...]
Vyombo vya habari 1,123 nchini vimesajiliwa

Vyombo vya habari 1,123 nchini vimesajiliwa

Kwa Mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye leo katika kikao kazi cha Maafisa Habari, Mawa [...]
Mdee: Watendaji wanaokiuka sheria wachukuliwe hatua

Mdee: Watendaji wanaokiuka sheria wachukuliwe hatua

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeitaka Ofisi ya Rais –TAMISEMI kufanya uchunguzi na kuchukua hatua kwa watendaji wat [...]
Waziri Ummy: Hakuna wagonjwa wapya wa Marburg

Waziri Ummy: Hakuna wagonjwa wapya wa Marburg

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia jana tarehe 25 Machi, 2023 hakuna wagonjwa wapya wa Marburg walioripotiwa licha ya kupokea tetesi se [...]
Ruksa kumrekodi askari

Ruksa kumrekodi askari

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo ametoa ruksa kwa abiria kuwarekodi kwa simu askari wa usalama barabarani wanaochukua rushwa kwa madereva [...]
Rais Samia chanzo cha ongezeko la uwekezaji nchini

Rais Samia chanzo cha ongezeko la uwekezaji nchini

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetoa taarifa kuhusu mwenendo wa hali ya uwekezaji nchini katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais wa a [...]
1 49 50 51 52 53 244 510 / 2434 POSTS
error: Content is protected !!