Author: Cynthia Chacha
Magazeti ya leo Desemba 26,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Desemba 26,2022.
[...]
Barua ya Feisal kwa YANGA SC
Kiungo wa klabu ya Yanga Feisal Salum 'Fei Toto' ametoa taarifa ya kuachana na mabingwa hao kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram.
[...]
Bilioni 2.2 za Rais Samia zakamilisha madarasa 110 Ilemela
Wanafunzi 12,548 waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela hawatakosa sehemu ya kusomea baada ya halmashauri [...]
Mahakama yatoa ruksa wafungwa kupiga kura jela
Mahakama Kuu ya Tanzania imetengua Kifungu cha 11 (1) (c) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2015 kinachozuia wafungwa kup [...]
Fahamu faida za kulala ofisini
Kulala kwa angalau dakika 30 ukiwa kazini ni kitu muhimu sana kwani mwili umekua umechoka kwa kufanya kazi kwa muda mrefu hivyo unapojipumzisha na kis [...]
Magazeti ya leo Desemba 23,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Desemba 23,2022.
[...]
Maji yaanza kujazwa bwawa la Julius Nyerere
Historia imeandikwa leo nchini baada ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kubonyeza kitufe cha kuruhusu maji kujaa katika Bwawa la Kufua Umeme la Julius N [...]
Bwawa la Nyerere kujazwa maji leo
Rais Samia Suluhu Hassan leo atazindua ujazaji maji katika bwawa la kufua umeme kwenye Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) uliopo Rufiji mk [...]
Magazeti ya leo Desemba 22,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Desemba 22,2022.
[...]
Ujenzi wa reli Tabora- Kigoma waiva
Kipande cha ujenzi wa reli ya kati Tabora- Kigoma kitagharimu dola za Marekani bilioni 2.7 sawa na shilingi trilioni 6.34.
Reli hiyo ambayo mkataba [...]