Category: Kimataifa
Mjamzito atolewa figo kwa siri
Nchi Uganda, Polisi wanachunguza tukio la madaktari kutoa figo kwa siri ya mjamzito Peragiya Muragijemana (20) mkazi wa Kijiji cha Lwemiggo, wilayani [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 28, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Nchi za Afrika zenye monkeypox
Morocco na Sudan zinachunguza visa vinavyoshukiwa vya ugonjwa wa monkeypox, imesema taasisi hiyo ya afya barani.
Hii inakuja baada ya milipuko ya v [...]
Marufuku kupokea zawadi zaidi ya Sh 4,500
Maafisa wote wa serikali wanakatazwa kisheria kuchukua zawadi ya gharama ya zaidi ya Ksh 4,500 ~ Tsh 90,000 na endapo watapokea zawadi hiyo wanapaswa [...]
Afrika Kusini kuwa na lugha za Taifa 12
NCHI ya Afrika Kusini ni ya tatu duniani kwenye orodha ya nchi zenye lugha za Taifa nyingi zaidi kwa kuwa na lugha 11 na bado namba hiyo inaongezeka.
[...]
Mshindi wa ‘Nobel Prize’ arejea Zanzibar
Mshindi wa Tuzo ya Fasihi ya Nobel 2021 Prof. Abdulrazak Gurnah ameitikia wito wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein M [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 26, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Todd Boehly ainunua Chelsea
Baada ya miaka 19 chini ya uongozi wa Roman Abramovich wa raia wa Urusi-Israeli, klabu ya mpira wa miguu ya Uingereza, Chelsea sasa kuhamia mkononi mw [...]
Madini ya Afrika yanayotumika kutengeneza simu
Utajiri mkubwa wa Afrika upo kwenye ardhi yake, ardhi yenye rutuba kustawisha mimea, lakini ardhi hiyohiyo yenye kuficha vito vya thamani na vya upeke [...]
Aua watoto 19, watu wazima 2 shuleni
Takriban watoto 19 na watu wazima wawili waliuawa wakati mtu mwenye bunduki alipofyatua risasi katika shule ya msingi huko Texas, mamlaka ilisema Juma [...]