Category: Kimataifa
Watanzania watatu wakamatwa kwa mauwaji Uganda
Watanzania watatu wamekamatwa nchini Uganda kwa shutuma za mauaji ya Emmanuel Deus mtunza fedha wa kampuni ya GEM James Gold Processing, Kwa mujibu wa [...]
“Vita kwa Nzige furaha kwa Kunguru”, Tanzania inavyonufaika kiuchumi mgogoro kati Uganda, Kenya na Rwanda
Hali ilivyo kwa sasa ni kwamba Tanzania ni mnufaika mkubwa kiuchumi kutokana na mgogoro wa kibiashara unaoendelea kati ya Uganda dhidi ya Kenya na Rwa [...]
Utafiti: Sababu Afrika kuwa na vifo vichache vya UVIKO-19 licha ya kuchanja chini ya 6% bara zima
Sababu kama Afrika kutokuwa na majiji makubwa yaliyo bize, sababu za vinasaba (genetic) na historia ya kukumbwa na magonjwa makubwa mara kwa mara kama [...]
Breaking: Mwafrika wa kwanza atunukiwa ‘Uprofesa’ chuo kikuu Oxford baada ya miaka 925 ya chuo hicho
Patricia Kingori, ameweka rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya kiafrika (mweusi) kupata cheo cha kitaaluma cha uprofesa kutoka Chuo Kikuu [...]
Omicron yaingia Rwanda, 6 waambukizwa
Waziri ya Afya nchini Rwanda Daniel Ngamije imethibitisha kuwepo kwa watu 6 waliokutwa na Virusi vya corona aina ya Omicron jana na kusema kwamba kiru [...]
Onyo latolewa wanaobeba abiria kwenye magari ya mizigo
Wakuu wa usalama barabarani na askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini, wameagizwa kutomuonea muhali dereva yeyote wa gari ya mizigo atakayebeb [...]
Mapenzi ya kweli yapo, baada ya kupooza mwili mzima, afungia ndoa kitandani
Terkimbir Benjamini Tyough mwenye umri wa miaka 45 hatimaye amefunga ndoa a mpenzi wake wa muda mrefu ambaye amefanikiwa kuzaa na watoto watatu. Terki [...]
Abakwa na wasichana wawili, hoi hospitali akipigania maisha yake.
Mwanaume mmoja nchini Zimbabwe mwenye umri wa miaka 27 anapigania maisha yake kwa sasa hospitalini baada ya kubakwa na wanawake wawili. Polisi nchini [...]
Mtambo wa kusaidia watu kujiua waanza kutumika
Uswizi wamepitisha uamuzi wa watu kutumia mashine ambayo itawasiadia kujiua bila mateso lakini pia itasaidia mtu kuamua ni wapi na saa ngapi anataka k [...]
Rais Samia atajwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu duniani
Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani. Huu ni msimu wa 18 ka [...]