Category: Kimataifa
Sokwe dume mzee zaidi duniani, afariki akiwa na umri wa miaka 61 katika Zoo Atlanta
Sokwe dume mzee zaidi duniani anayefahamika kwa jina la Ozzie, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 61 katika hifadhi ya wanyama nchini Atlanta huku [...]
Afariki nyumba ya wageni baada ya kuzidisha vidonge vya kuongeza nguvu za kiume
Polisi nchini Kenya Kaunti ya Homa Bay wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwanaume mwenye umri wa miaka 55 aliyekutwa amefariki kwenye nyumba ya ku [...]
Mke auliwa na mchepuko wake
Mwili wa mwanamke aliyetambulika kwa jina la Teddy Mallya mkazi wa Ilboru Kisiwani, Arumeru mkoani Arusha umekutwa umetupwa kwenye shamba la migomba a [...]
Mbaroni kwa kutaka kuuza ardhi ya Rais wa Kenya
Watu wanne wamewekwa kizuizini na mahakama ya Nairobi kwa shutuma za kupanga njama za kuuza ardhi ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta huko Karen nchini h [...]
KFC Kenya kuanza kuuza ugali baada ya kuishiwa viazi vya ‘chipsi’
Mwanzoni mwa mwaka 2022 KFC Kenya ilipata changamoto ya kuishiwa kwa viazi wanavyotumia kuandaa ‘chipsi’ na kufanya wengi kujiuliza kwanini wanashindw [...]
Watanzania watatu wakamatwa kwa mauwaji Uganda
Watanzania watatu wamekamatwa nchini Uganda kwa shutuma za mauaji ya Emmanuel Deus mtunza fedha wa kampuni ya GEM James Gold Processing, Kwa mujibu wa [...]
“Vita kwa Nzige furaha kwa Kunguru”, Tanzania inavyonufaika kiuchumi mgogoro kati Uganda, Kenya na Rwanda
Hali ilivyo kwa sasa ni kwamba Tanzania ni mnufaika mkubwa kiuchumi kutokana na mgogoro wa kibiashara unaoendelea kati ya Uganda dhidi ya Kenya na Rwa [...]
Utafiti: Sababu Afrika kuwa na vifo vichache vya UVIKO-19 licha ya kuchanja chini ya 6% bara zima
Sababu kama Afrika kutokuwa na majiji makubwa yaliyo bize, sababu za vinasaba (genetic) na historia ya kukumbwa na magonjwa makubwa mara kwa mara kama [...]
Breaking: Mwafrika wa kwanza atunukiwa ‘Uprofesa’ chuo kikuu Oxford baada ya miaka 925 ya chuo hicho
Patricia Kingori, ameweka rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya kiafrika (mweusi) kupata cheo cha kitaaluma cha uprofesa kutoka Chuo Kikuu [...]
Omicron yaingia Rwanda, 6 waambukizwa
Waziri ya Afya nchini Rwanda Daniel Ngamije imethibitisha kuwepo kwa watu 6 waliokutwa na Virusi vya corona aina ya Omicron jana na kusema kwamba kiru [...]