Category: Kimataifa

1 38 39 40 41 42 58 400 / 572 POSTS
Kenya na Tanzania zaondoa vikwazo 56 vya kibiashara

Kenya na Tanzania zaondoa vikwazo 56 vya kibiashara

Tanzania na Kenya zimefanikiwa kuondoa vikwazo vingine 10 vya kibiashara na kutimiza jumla ya vikwazo vilivyoondolewa kufikia 56 baada y [...]
Pambano kali kati ya Putin na Elon Musk

Pambano kali kati ya Putin na Elon Musk

Tajiri mkubwa duniani Elon Musk, ameibua mjadala katika mitandao ya jamii baada ya kuandika kupitia ukurasa wake wa twitter kuwa anaomba pambano la ng [...]
EAC yatahadharisha magonjwa ya mlipuko

EAC yatahadharisha magonjwa ya mlipuko

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imezitaka nchi za wanachama wake kuongeza kasi ya kuzuia na kukabiliana na magonjwa ya mlipuko katika kipindi cha mv [...]
Polepole apata shavu ubalozi

Polepole apata shavu ubalozi

Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi  wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi katika uteuzi uliofa [...]
Maneno 150 yaongezwa kwenye misamiati ya kiswahili

Maneno 150 yaongezwa kwenye misamiati ya kiswahili

Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) limefanikiwa kuongeza misamiati mipya 150 kwenye Toleo la tatu la Kamusi Kuu ya Kiswahili kama hatua ya kukikuza [...]
Obama akutwa na Covid-19

Obama akutwa na Covid-19

Rais mstaafu wa Marekani, Barack Obama amethibitisha kukutwa na Covid-19 taarifa aliyochapisha kwenye ukurasa wa twitter na kusema anawakumbusha watu [...]
Aliyepandikizwa moyo wa nguruwe afariki

Aliyepandikizwa moyo wa nguruwe afariki

David Bennett binadamu wa kwanza kufanyiwa upasuaji wa upandikizwaji wa moyo wa nguruwe amefariki dunia Machi 8 mwaka huu, David amefariki akiwa na um [...]
Pasha afariki vitani

Pasha afariki vitani

Muigizaji maarufu kutoka nchini Ukraine, Pasha li (33) amefariki akiwa vitani baada ya kushambuliwa na wanajeshi wa jeshi la Urusi katika mji wa Irpin [...]
URUSI: BEBA BENDERA YA TZ

URUSI: BEBA BENDERA YA TZ

Wanafunzi waliokuwa wamekwama katika mji wa Sumy-Ukraine kuanza kuondolewa kwa kupitia mpaka wa Urusi huku wakiambiwa wabebe mabegi na bendera za Tanz [...]
Miss Ukraine 2015 abaki kupigana vita na Urusi

Miss Ukraine 2015 abaki kupigana vita na Urusi

Miss Ukraine mwaka 2015, Anastasia Lena ameamua kubaki nchini humo na kujiunga na jeshi la Ukraine ili kupigana vita iliyoanzishwa na Urusi tangu juma [...]
1 38 39 40 41 42 58 400 / 572 POSTS
error: Content is protected !!