Category: Kimataifa
Onyo latolewa wanaobeba abiria kwenye magari ya mizigo
Wakuu wa usalama barabarani na askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini, wameagizwa kutomuonea muhali dereva yeyote wa gari ya mizigo atakayebeb [...]
Mapenzi ya kweli yapo, baada ya kupooza mwili mzima, afungia ndoa kitandani
Terkimbir Benjamini Tyough mwenye umri wa miaka 45 hatimaye amefunga ndoa a mpenzi wake wa muda mrefu ambaye amefanikiwa kuzaa na watoto watatu. Terki [...]
Abakwa na wasichana wawili, hoi hospitali akipigania maisha yake.
Mwanaume mmoja nchini Zimbabwe mwenye umri wa miaka 27 anapigania maisha yake kwa sasa hospitalini baada ya kubakwa na wanawake wawili. Polisi nchini [...]
Mtambo wa kusaidia watu kujiua waanza kutumika
Uswizi wamepitisha uamuzi wa watu kutumia mashine ambayo itawasiadia kujiua bila mateso lakini pia itasaidia mtu kuamua ni wapi na saa ngapi anataka k [...]
Rais Samia atajwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu duniani
Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani. Huu ni msimu wa 18 ka [...]
Wafanyakazi 900 wafukuzwa kazi muda mmoja kupitia ‘Zoom Call’
"Kama umepokea simu hii muda huu, wewe ni mmoja ya watu waliofukuzwa kazi", aliongea Vishal Garg, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya kupangisha na kuuza ma [...]
Achinjwa hadi kufa kwa kuolewa bila ridhaa ya wazazi
Mwanamke mmoja, umri miaka 19 huko nchini India katika eneo la Aurangabad amevamiwa na kuchinjwa na kaka zake wawili baada ya kutoroshwa na kuolewa na [...]
Mwanamke aliyemshtaki daktari wa mama yake kwa kuzaliwa ashinda kesi
Mwanamke ambaye alimshtaki daktari wa mama yake akidai kwamba hakupaswa kuzaliwa ameshinda kesi na kutakiwa kulipwa mamilioni ya fidia. Evie Toombes, [...]
Aliyejioa ajipa talaka baada ya siku 90 ya ndoa yake
Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Cris Galera mwenye umri wa miaka 33 alishika vichwa vya habari baada yakujioa miezi mitatau iliyopita, lakini [...]
Wanaume wa Kenya hawapendi kutumia kondomu
Mamilioni ya kondomu zinazotolewa bila malipo zinaweza kupotea kwani Wakenya hawazitumii. Hayo yamebainika wakati wa hafla ya Baraza la Kitaifa la Kud [...]