Category: Kimataifa
Onyo la Rais wa Urusi, Putin kwa dunia
Chombo cha habari cha Time kimeripoti ujumbe wa Rais wa Urusi, Vladimir Putin alivozionya nchi nyingine kwamba jaribio lolote la kuingilia hatua ya Ur [...]
Dunia ya guswa na shambulio la Urusi dhidi ya Ukraini
Operesheni maalumu ya kijeshi ya ya Rais wa Urusi Vladimir Putin mashariki mwa Ukraine imelaaniwa haraka na mataifa kadhaa.
Shambulio hilo wakati h [...]

Kampuni ya Elon Musk inakabiliwa na madai ya unyanyasaji wa wanyama
Kampuni ya San Francisco Neuralink, inayoendeshwa na Elon Musk, imekuwa ikifanya kazi kwenye chip ambayo inaweza kupandwa kwenye ubongo wa mwanadamu [...]

Tanzania kuanza kutengeneza chanjo zake za Covid-19
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake inataka kuanzisha kiwanda cha kutengeneza chanjo ndani ya nchi kama sehemu ya mipango mipana ya kukabil [...]
Tanzania na Ufaransa zatia saini mikataba sita
Serikali za Tanzania na Ufaransa leo zimetia saini jumla ya mikataba sita ya makubaliano kwa nia ya kuendeleza uhusiano baina ya nchi hizo mbili.
W [...]
Rais wa Liberia aanika siri za mkewe
Rais George Weah wa Liberia amesababisha taharuki nchini humo baada ya kuzindua kitabu chake huku wanawake nchini Liberia wakijiandaa kuandamana kwa k [...]
Amteka nyara mtoto wake, amuua kisha kujinyoga.
Mwanaume mmoja jijini Nairobi aliyetambulika kwa jina la Victor Aiyeko anasemekana kumteka nyara mtoto wake mwenye umri wa miaka 3, kumuua na kisha ku [...]
Sokwe dume mzee zaidi duniani, afariki akiwa na umri wa miaka 61 katika Zoo Atlanta
Sokwe dume mzee zaidi duniani anayefahamika kwa jina la Ozzie, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 61 katika hifadhi ya wanyama nchini Atlanta huku [...]
Afariki nyumba ya wageni baada ya kuzidisha vidonge vya kuongeza nguvu za kiume
Polisi nchini Kenya Kaunti ya Homa Bay wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwanaume mwenye umri wa miaka 55 aliyekutwa amefariki kwenye nyumba ya ku [...]
Mke auliwa na mchepuko wake
Mwili wa mwanamke aliyetambulika kwa jina la Teddy Mallya mkazi wa Ilboru Kisiwani, Arumeru mkoani Arusha umekutwa umetupwa kwenye shamba la migomba a [...]