Category: Kimataifa
Benki ya Dunia kushirikiana zaidi na Tanzania
Benki ya Dunia iimesema itaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kukuza uchumi kupitia mabadiliko ya kidijitali kwa kushirikiana na sekt [...]
Leo katika historia: Hitler na Churchill waingia kwenye mgogoro
1. Tarehe kama ya leo mwaka 1934 kimbunga kikali kilikumba Kisiwa cha Honshu, nchini Japan na kuua zaidi ya watu 4,000. Japan inaongoza kwa kukumbwa n [...]
Sudan yazima jarabio la mapinduzi
Kumetokea jaribio la kuipindua serikali ya Sudan, lakini tayari limezimwa na jitihada za kurejesha hali ya utulivu zinaendelea.
Kituo cha Televishe [...]
Rais Samia: Mabadiliko ya tabia ya nchi yanaathiri Watanzania 60%
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ameshiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa uliojadili athari za mabadiliko ya tabia nchi yanayoikumba dunia na kusis [...]
Tutarajie nini kwenye mkutano wa 76 wa Baraza la Umoja wa Mataifa?
Mkutano wa 76 wa Umoja wa Mataifa utaanza rasmi Jumanne Septemba 21, 2021 jijini New York (Makao Mkuu wa Umoja wa Mataifa), Marekani. Mkutan [...]
Leo katika historia
Siku kama ya leo miaka 190 iliyopita, lilitengenezwa basi la kwanza lililokuwa likitumia nishati ya mvuke. Basi hilo lilikuwa na uwezo wa kubeba abiri [...]
Rais Samia awasili Marekani, apokelewa kwa shangwe
Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Mara baada ya kuwasili jijini New Yo [...]
Leo katika historia
Mwaka 1810: Chile ilipata uhuru wake kutoka Hispania iliyoitawala nchi hiyo tangu karne ya 16. Chile ina eneo la kilomita za mraba 4,300 katika mwamba [...]
Yafahamu mataifa yenye nguvu kubwa za kijeshi Afrika
Mtandao wa Global Firepower kupitia utafiti wake umeorodhesha uwezo wa kila jeshi barani Afrika kulingana na idadi ya wanajeshi, uwezo wake wa angani, [...]
Risasi za AK47 zakamatwa ndani ya gari
Polisi nchini Kenya wamekamata gari lililotelekezwa kando ya barabara, karibu na kituo cha mafuta katika eneo la Mihango, kaunti ya Nairobi likiwa na [...]