Category: Kitaifa

1 110 111 112 113 114 184 1120 / 1834 POSTS
Ajali mbaya yaua watatu

Ajali mbaya yaua watatu

WATU watatu wamefariki dunia na wengine 26 kujeruhiwa katika ajali ya basi la Mohamed Classic iliyotokea Hanang mkoani Manyara. Basi hilo lenye nam [...]
Diwani aliyepotea akutwa na mwanamke Tabata

Diwani aliyepotea akutwa na mwanamke Tabata

Jeshi la polisi Kanda maalum Dar es salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwana [...]
Chanzo cha watu kupigwa mawe Arumeru

Chanzo cha watu kupigwa mawe Arumeru

Mkoani Arusha, wilayani Arumeru, wananchi wamekuwa wakipigwa na mawe kwa takribani wiki mbili sasa bila kujua mawe hayo yanatoka wapi. Baada ya kuz [...]
Mbunge mwingine alia bungeni

Mbunge mwingine alia bungeni

Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa amemwaga machozi bungeni wakati akieleza kuwa Kampuni ya Syno Hydro iliyopopewa zabuni ya kujenga barabara ya mwen [...]
Sababu ya Mbunge kuruka sarakasi bungeni

Sababu ya Mbunge kuruka sarakasi bungeni

Mbunge wa Mbulu Vijijini (CCM) Flatei Massay ameruka sarakasi bungeni ikiwa ni kuonyesha msisitizo wa hoja yake kuwa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imek [...]
Walioomba Sensa wapita idadi inayohitajika

Walioomba Sensa wapita idadi inayohitajika

Watu 674,484 wameomba nafasi za ajira za muda za Sensa ya Watu na Makazi ikiwa imezidi idadi kamili inayohitaji kwa ajili ya shughuli hiyo ni 205,000. [...]
Lissu na Lema nchini

Lissu na Lema nchini

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu na Mjumbe wa kamati Kuu ya Chama hicho, Godbless Lema wametangaza kuwa w [...]
Sababu za watumishi kukosa nidhamu

Sababu za watumishi kukosa nidhamu

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kukosekana kwa mafunzo ya kada mbalimbali za utumishi wa umma ni miongoni mwa sababu zinazochangia kutet [...]
Chanzo cha moto IFM

Chanzo cha moto IFM

Siku ya jana Ijumaa Mei 20,2022 Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kilichopo jijini Dar es Salaam kiliwaka moto ambao uliteketeza baadhi ya vifaa katik [...]
Spika Tulia, Mdee na wenzake wakingiwa kifua na WiLDAF

Spika Tulia, Mdee na wenzake wakingiwa kifua na WiLDAF

Tamko la Jukwaa la Wanawake Wakurugenzi wa Asasi za Kiraia nchini Tanzania la kukemea vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake viongozi mitandaoni wanaof [...]
1 110 111 112 113 114 184 1120 / 1834 POSTS
error: Content is protected !!