Category: Kitaifa
Bodaboda ajinyonga kwa mkanda
Idrisa Salum Milundiko (24), mkazi wa Kitongoji cha Kasokola Mashariki B wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi anayejihusisha na uendeshaji wa bodaboda, ame [...]
Wizara ya afya yatoa nafasi 1,621 za kazi
Wizara ya Afya kupitia kibali cha Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/128/01/”B”/40 cha tarehe 01 Aprili, 20 [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 16, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
TBS walitaka gari la Kipanya
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limemtaka Masoud Kipanya kufika katika Ofisi za TBS na gari la kutumia umeme alilolibuni hivi karibuni ili liweze ku [...]
Maunda Zorro kuzikwa kesho
Mwili wa Msanii Maunda Zorro unatarajiwa kuagwa na kuzikwa siku ya Jumamosi Aprili 16 eneo la Toangoma, Kigamboni.
Hayo yamesemwa jana Alhamisi Apri [...]
Ajali yaua Iringa, Neville Meena anusurika
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mbaya iliyohusisha gari dogo na malori mawili usiku wa kuamkia leo, muda wa Saa 4:40 usiku, Iringa.
Katik [...]
TAMISEMI yafafanua pikipiki za Milioni 11
TAMISEMI imetoa ufafanuzi kuhusu alichokiwasilisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Innocent Bashungwa katika wasilisho la Makadirio ya Mapato [...]
NZEGA: Wanachama 53 wa Chadema wahamia CCM
Wanachama 53 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Nzega wametangaza kukihama chama hicho na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) waki [...]
Ahadi ya Samia kwa Wamachinga yatimia
Neema imeanza kufunguka kwa wafanyabiashara wadogo(MACHINGA) baada ya kusaini mkataba wa shilingi bilioni 200 zilizotengwa na benki ya NMB kwa ajili y [...]