Category: Kitaifa

1 131 132 133 134 135 187 1330 / 1869 POSTS
Amuua mtoto na kumtupa Riverside

Amuua mtoto na kumtupa Riverside

Latifa Bakari (33) mkazi wa Mabibo anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wa mdogo wake mwenye um [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 13, 2022

Viwango vya kubadili fedha Aprili 13, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Makamba ataja sababu za mfumuko wa bei za mafuta

Makamba ataja sababu za mfumuko wa bei za mafuta

Waziri wa Nishati, January Makamba ameeleza kiundani sababu za upandaji wa bei za mafuta baada ya kuwa na sintofahamu kutoka kwa wananchi waliokuwa wa [...]
Ukiandika barua hivi, kazi nje nje

Ukiandika barua hivi, kazi nje nje

Kati ya vitu vinavyosababisha wengi kukosa kazi ni barua mbaya ya utangulizi na wengine huandika hadi waraka wa Petro kwa mwajiri wakidhani kuwa ndio [...]
Mhagama atangaza ajira mpya zaidi ya 32,000

Mhagama atangaza ajira mpya zaidi ya 32,000

Waziri  wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama,ametangaza ajira mpya zaidi ya 32,000 katika sek [...]
Rais Samia aikumbuka kata ya Kitandililo

Rais Samia aikumbuka kata ya Kitandililo

Wananchi wa Kata ya Kitandililo, Wilaya ya Makambako Mjini, Mkoani Njombe wamemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kuwajengea kituo cha Afya katika kata hiy [...]
Muliro: Kama yupo serious aripoti polisi

Muliro: Kama yupo serious aripoti polisi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema kama aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda anahitaji msaada ya kius [...]
TRA yatangaza nafasi 475 za kazi

TRA yatangaza nafasi 475 za kazi

Hakikisha kuwa umejisajili katika tovuti ya sekretarieti ya Ajira ili kuweza kuomba nafasi hizi. [...]
ACT-Wazalendo waja na suluhu mfumuko wa bei

ACT-Wazalendo waja na suluhu mfumuko wa bei

Msemaji wa kisekta wa ACT-WAZALENDO, Dorothy Semu, amesema hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, bungeni kuhusu suala la mfumuko wa bei za bidhaa ha [...]
1 131 132 133 134 135 187 1330 / 1869 POSTS
error: Content is protected !!