Category: Kitaifa

1 131 132 133 134 135 183 1330 / 1830 POSTS
Mkurugenzi Mange App kizimbani

Mkurugenzi Mange App kizimbani

Mkurugenzi wa Mtandao wa Kijamii wa U turn Collection, Allen Mhina (31) na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu [...]
Musukuma ajiuzulu

Musukuma ajiuzulu

Mbunge wa Geita Vijijini ambaye pia ni Balozi wa Mazingira anayewakilisha Bunge, Joseph Kasheku (Musukuma) amejiuzulu ubalozi wa mazingira kufuatia ri [...]
JJ Mungai wafurahia madarasa ya Samia

JJ Mungai wafurahia madarasa ya Samia

Walimu, wazazi na wanafunzi wa Shule ya Sekondari JJ Mungai iliyopo halmashauri ya Mjini wa Mafinga wameeleza furaha yao kwa ujenzi wa madarasa uliofa [...]
Aliyeandika barua kuacha shule arejea

Aliyeandika barua kuacha shule arejea

Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya SEkondari Msimbati, Taufiq Hamisi (15) ambaye aliandika barua ya kuacha shule kutokana na ugumu wa mai [...]
Muliro: marufuku Daraja la Tanzanite

Muliro: marufuku Daraja la Tanzanite

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema Jeshi hilo limepiga marufuku kwa mtu asiyehusika kufika chini ya Daraja hilo kuto [...]
Wezi wakutwa wakiiba Daraja la Tanzanite

Wezi wakutwa wakiiba Daraja la Tanzanite

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wawili wakidaiwa kujaribu, kukata baadhi ya vyuma vya ngazi ya nguzo kwenye daraja l [...]
Maofisa ugani kuvaa gwanda

Maofisa ugani kuvaa gwanda

Wakili wa Kilimo Hussein Bashe amesema maofisa ugani wote nchini wataanza kuvaa unifomu na serikali itakuwa ikitoa mavazi mawili kila mwaka. Amesem [...]
Kodi zaipaisha TRA

Kodi zaipaisha TRA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mwezi uliopita imekusanya Sh trilioni 2.06 katika lengo la kukusanya Sh trilioni 1.98 taarifa iliyotolewa na [...]
Masoud Kipanya aja na gari la kuchaji

Masoud Kipanya aja na gari la kuchaji

Mtangazaji na mchora katuni maarufu nchini Tanzania, Masoud Kipanya kupitia kampuni yake ya Kaypee Motors amezindua gari ndogo ya mizigo inayotumia um [...]
1 131 132 133 134 135 183 1330 / 1830 POSTS
error: Content is protected !!