Category: Kitaifa
Sabaya atemwa
Wakili aliyekuwa akisimamia na kumtetea aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (35) na wenzake 6 amejitoa katika k [...]
Dakika 34 zamponza Davido
Mwanamuziki maarufu kutokea nchini Nigeria, Davido amelipishwa faini ya Euro 340,000 ambayo inakadiriwa kwa pesa za kitanzania ni zaidi ya Bilioni 1 n [...]
Samia atimiza ahadi yake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inafanya jitihada ya kuweka mazingira rafiki ya kufundishia na kujif [...]
Wanaume Geita walilia wake zao
Wanaume mkoani Geita wanaodai kutendewa vitendo vya ukatili na wake zao ikiwamo kupigwa na kunyimwa unyumba wamejitokeza kwa wingi katika dawati la ji [...]
Vijana 853 waliofukuzwa waruhusiwa kurudi kwenye Makambi ya JKT
Vijana 854 kati ya 24000 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliofukuzwa na kusimamishwa mafunzo mwaka 2021 kwa kosa la vitendo vya uhasi wamesamehewa na [...]
Reli ya kisasa kuanza kutumika rasmi Aprili
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amewataka viongozi wa Shirika la Reli nchini (TRC) kuhakikisha ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), ki [...]
Urusi na Tanzania mambo safi
Urusi yaridhia kusaidia kuondoa wanafunzi wa Kitanzania waliokuwa wamekwama katika mji wa Sumy Nchini Ukraine kuondoka nchini humo kupitia mpaka wa Uk [...]
Aharibikiwa kisaikolojia baada ya kutoka Ukraine
Hairat Muhina ni kati wa wanafunzi aliyefanikiwa kurudi Tanzania akitokea Ukraine alipokuwa akisoma mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Tiba [...]
CAG ageukia fedha za UVIKO-19
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema ofisi yake imeanza kufanya ukaguzi maalumu wa matumizi ya fedha za UVI [...]
CHADEMA wamkubali Spika Tulia
Sophia Mwakagenda ambaye ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema kwamba wabunge wanaotokan [...]